Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,339
- Thread starter
- #41
Huna akili timamu.Tatizo una pesa ya madafu ungekuwa na hela asingekufanyia hvyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna akili timamu.Tatizo una pesa ya madafu ungekuwa na hela asingekufanyia hvyo.
Ni baada ya ibada, soma uelewe. Una elimu gani wewe?Kama ulijua ni udhalilishaji wewe ulienda kusikilizia kanisani ili iweje
Jamii forum free streess zoneWenzako hao hapo 😂🤣
View attachment 2297445
Maiaha yenyewe EMOLO haya.Jamii forum free streess zone
Hapo ni mwanzo tegemea makubwa zaidi
Ni noma sana😁😁Mkulungwa01
Mpwayungu village
Izo biz aka man biznes
Hawa watu kwa chai wako vizuri
Hahahaha umenichekesha sana aiseeNina muda mrefu sijaonekana jamvini, majukumu ni mengi sana. Kwa sasa mimi ni baba Gebbie, nastahili pongezi. Jumapili iliyopita baada ya ibada nilikuwa nasikiliza earphone.
Mke wangu alinifanyia hujuma, kati kati ya waumini wengine alichomoa waya kwa siri na hivyo kufanya wengine wasikie wimbo wangu. Nilikuwa nasikilza wimbo wa J Moe, 'pesa ya madafu', wote wa pembeni akiwemo mke wangu walikuwa wanacheka mno, baadaye nikagundua walikuwa wakinicheka.
Nimehisi kumchukia mpaka leo hii, na niliondoka muda ule ule. Amenibembeleza lakini wapiii! Nina hasira naye sana. Amenidhalilisha, ameishusha heshima yangu. Na hivi kulikuwa na watu wachache, je wangekuwa wengi?
Hovyo kabisa!
Hahahhahahahha!!Hii ni chai ya baridi, haifai kuinywa.
Tangu lini simu janja ikaendelea kuplay muziki endapo earphone itatolewa?
Nawasilisha.