Jumapili tunasherekea miaka 51 ya Muungano, tujiulize haya ya Serikali tatu, Warioba aliyatoa wapi?

Jumapili tunasherekea miaka 51 ya Muungano, tujiulize haya ya Serikali tatu, Warioba aliyatoa wapi?

singidadodoma

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,394
Reaction score
1,536
Katika mambo ambayo yamekuwa yakinikanganya nia haya ya warioba na tume yake ambapo mpaka sasa wamekuwa wakitumia majukwaa mbali mbali kusema kuwa yale waliyoyakusanya ni maoni ya wananchi, miongoni mwa wanaosema hivyo ni rafiki yangu Polepole , hivi majuzi nimemsikia naye mzee wetu Butiku akiitaka tume ya uchaguzi utumie fursa hii ya kusogezwa mbele kura ya maoni kwa kuyarudisha mapendekezo ya tume ya warioba ambayo yaliondolewa na bunge maalum la katiba.

Lakini pia hata Jaji Warioba amekuwa akisisitiza kuwa wao wamechukua maoni ya wananchi na kuwa kilichomo katika rasimu yao ya katiba ni matakwa ya wananchi walio wengi, hasa lile suala la mfumo wa serikali tatu.



Tukirudia katika Tume ya Warioba, kwa Tanzania Bara, waliozungumzia Muungano walikuwa 39,000. Kati yao, ni watu 27,000 tu ndio waliozungumzia Muundo. Na kati ya hao, watu 16,470 (61%) walitaka serikali tatu. Kwa Tanzania Visiwani, waliozungumzia Muungano walikuwa 38,000 na ni nusu yao tu (19,000) waliozungumzia muundo. Kati ya hao, watu 11,400 (60%) walitaka serikali ya mkataba.


Ukijumlisha idadi ya watu ambao hawakugusia muundo wa Muungano, Bara na Visiwani, ni 27,000. Hawa ni wengi kuliko watu 16,470 waliotaka serikali tatu.
Ukikokotoa jumla ya waliotaka mkataba na serikali tatu ni watu 27,870, na hawa ni 36% ya jumla ya watu waliozungumzia Muungano. Jumla hii ni tone ya maji baharini ikilinganishwa na watu wapatao 333,537 waliotoa maoni katika Tume ya Katiba.
Kwa maneno mengine, waliotaka mkataba au serikali tatu walikuwa asilimia nane tu ya waliotoa maoni. Pia, watoa maoni 287,537 sawa na asilimia 86% hawakugusia kabisa Muungano au muundo wake. ’Sasa iweje watu 16,000 wawakilishe maoni ya Watanzania milioni 45? Je, uwingi aliousema Jaji Warioba kautoa wapi?’’.
 
Katika mambo ambayo yamekuwa yakinikanganya nia haya ya warioba na tume yake ambapo mpaka sasa wamekuwa wakitumia majukwaa mbali mbali kusema kuwa yale waliyoyakusanya ni maoni ya wananchi, miongoni mwa wanaosema hivyo ni rafiki yangu Polepole , hivi majuzi nimemsikia naye mzee wetu Butiku akiitaka tume ya uchaguzi utumie fursa hii ya kusogezwa mbele kura ya maoni kwa kuyarudisha mapendekezo ya tume ya warioba ambayo yaliondolewa na bunge maalum la katiba.

Lakini pia hata Jaji Warioba amekuwa akisisitiza kuwa wao wamechukua maoni ya wananchi na kuwa kilichomo katika rasimu yao ya katiba ni matakwa ya wananchi walio wengi, hasa lile suala la mfumo wa serikali tatu.



Tukirudia katika Tume ya Warioba, kwa Tanzania Bara, waliozungumzia Muungano walikuwa 39,000. Kati yao, ni watu 27,000 tu ndio waliozungumzia Muundo. Na kati ya hao, watu 16,470 (61%) walitaka serikali tatu. Kwa Tanzania Visiwani, waliozungumzia Muungano walikuwa 38,000 na ni nusu yao tu (19,000) waliozungumzia muundo. Kati ya hao, watu 11,400 (60%) walitaka serikali ya mkataba.


Ukijumlisha idadi ya watu ambao hawakugusia muundo wa Muungano, Bara na Visiwani, ni 27,000. Hawa ni wengi kuliko watu 16,470 waliotaka serikali tatu.
Ukikokotoa jumla ya waliotaka mkataba na serikali tatu ni watu 27,870, na hawa ni 36% ya jumla ya watu waliozungumzia Muungano. Jumla hii ni tone ya maji baharini ikilinganishwa na watu wapatao 333,537 waliotoa maoni katika Tume ya Katiba.
Kwa maneno mengine, waliotaka mkataba au serikali tatu walikuwa asilimia nane tu ya waliotoa maoni. Pia, watoa maoni 287,537 sawa na asilimia 86% hawakugusia kabisa Muungano au muundo wake. ’Sasa iweje watu 16,000 wawakilishe maoni ya Watanzania milioni 45? Je, uwingi aliousema Jaji Warioba kautoa wapi?’’.
 
Tukirudia katika Tume ya Warioba, kwa Tanzania Bara, waliozungumzia Muungano walikuwa 39,000. Kati yao, ni watu 27,000 tu ndio waliozungumzia Muundo. Na kati ya hao, watu 16,470 (61%) walitaka serikali tatu. Kwa Tanzania Visiwani, waliozungumzia Muungano walikuwa 38,000 na ni nusu yao tu (19,000) waliozungumzia muundo. Kati ya hao, watu 11,400 (60%) walitaka serikali ya mkataba.
[/FONT]

Ukijumlisha idadi ya watu ambao hawakugusia muundo wa Muungano, Bara na Visiwani, ni 27,000. Hawa ni wengi kuliko watu 16,470 waliotaka serikali tatu.
Ukikokotoa jumla ya waliotaka mkataba na serikali tatu ni watu 27,870, na hawa ni 36% ya jumla ya watu waliozungumzia Muungano. Jumla hii ni tone ya maji baharini ikilinganishwa na watu wapatao 333,537 waliotoa maoni katika Tume ya Katiba.
Kwa maneno mengine, waliotaka mkataba au serikali tatu walikuwa asilimia nane tu ya waliotoa maoni. Pia, watoa maoni 287,537 sawa na asilimia 86% hawakugusia kabisa Muungano au muundo wake. ’Sasa iweje watu 16,000 wawakilishe maoni ya Watanzania milioni 45? Je, uwingi aliousema Jaji Warioba kautoa wapi?’’.


Mtafute S.Sita au Makonda watakuwa na majibu.
Ila sisi tunataka Safari hii mumepiga kiasi gani kwenye maandalizi ya Miaka 51 ya Muungano uko ICU ?
 
Mtafute S.Sita au Makonda watakuwa na majibu.
Ila sisi tunataka Safari hii mumepiga kiasi gani kwenye maandalizi ya Miaka 51 ya Muungano uko ICU ?
We umeishiwa hoja, badala ya kujibu kiuungwana we unajibu dharau sa kwani huyo amekwambia anahitaj majibu toka kwa sitta?
 
nilikuwa naangalia umejiunga lini na JF, nikaona tarehe nikacheka sana mpaka majirani wakanishtukia na kuniuliza kulikoni? nikajibu maruhani ya JF yamepanda. Mbona haujauliza Jaji Nyarali alitoa wapi hiyo hoja? mbona haujauliza Jaji Kissanga alitoa wapi hiyo hoja? Mkataa kwao ni mtumwa!!!
 
Mtafute S.Sita au Makonda watakuwa na majibu.
Ila sisi tunataka Safari hii mumepiga kiasi gani kwenye maandalizi ya Miaka 51 ya Muungano uko ICU ?



Duu huyu nae sijui huelewi hoja mbona majibu yako yako nje ya hoja afu unatuchanganyia mada we vipi?mara MaKonda mara miaka 51 ya Muungano inaingiaje hapa kama huna uwezo wa kuelewa usichangie!
 
Kwa mantiki yako, je hao 333,537 wana haki gani kuwakilisha watu milioni 45? Kwa kuwa waliotoa maoni ya katiba ni wachache maoni yao hayakuwa na maana yoyote> Kwa nini mengine yaliyotolewa na watu wachache zaidi kuliko waliotoa maoni ya muundo wa serikali yalikubaliwa na kupitishwa?
 
"Tanganyika imevaa koti la muungano"
Zanzibar nchi ina wimbo,bendera nk na sasa wanataka fedha zao.
 
Kama hao laki 3 hawana haki ya kushawishi aina ya muungano mbona hao million 40 walikaa kimya sababu hawajali aina ya muungano hata usipokuwepo kwao ni sawa basi tupitishe serikali 3
 
Kwani wakati tunaunga ni wananchi wangapi waliulizwa, wangapi waliridhia serikali mbili.

Weka data hapa.

Kama waliamua Nyerere na karume peke yao, basi this time (kwa maana ya tume ya warioba) watanzania wengi sana wamependekeza aina ya muungano wetu.
 
Duu huyu nae sijui huelewi hoja mbona majibu yako yako nje ya hoja afu unatuchanganyia mada we vipi?mara MaKonda mara miaka 51 ya Muungano inaingiaje hapa kama huna uwezo wa kuelewa usichangie!


Uko likizo siyo! Soma kwanza ya JF hutayaelewa kama hauko sawa.Kama lugha nyepesi kama hiyo huelewi 2015 wataachaje kukudanganya .Jaribu kufikiri nje ya BOX.

Msome vizuri mleta hoja alafau inaonekana mnafahamiana na mmeajiriwa siku moja Pale Lumumba!
 
Kwani wakati tunaunga ni wananchi wangapi waliulizwa, wangapi waliridhia serikali mbili.

Weka data hapa.

Kama waliamua Nyerere na karume peke yao, basi this time (kwa maana ya tume ya warioba) watanzania wengi sana wamependekeza aina ya muungano wetu.

Na sio serikali 3 kama ilivyopendekezwa......na warioba ule ulikuw uzandiki wa watu kutaka kuneemeshana na kuipa nchi yetu mzigo...hizo mbili kila siku mnasema zinachangamoto vipi ukiongeza ya tatu.....mbona hamtumi akili ya kawaida kufikiri....hao wenye matakwa ya kisiasa wanaotaka serikali 3, ili baadae waneemeshe matumbo yao baada ya kusaka urais kwa muda mrefu bila mafanikio "LIPUMBA"......na WENZIO ....UKAWA
 
Na sio serikali 3 kama ilivyopendekezwa......na warioba ule ulikuw uzandiki wa watu kutaka kuneemeshana na kuipa nchi yetu mzigo...hizo mbili kila siku mnasema zinachangamoto vipi ukiongeza ya tatu.....mbona hamtumi akili ya kawaida kufikiri....hao wenye matakwa ya kisiasa wanaotaka serikali 3, ili baadae waneemeshe matumbo yao baada ya kusaka urais kwa muda mrefu bila mafanikio "LIPUMBA"......na WENZIO ....UKAWA

Haya ni maneno mnayoyapewaga kwenye semina elekezi eti "UZANDIKI" uzandiki ndio limnyama gani? Uzito wa serikali tatu wananchi wako tayari kuubeba (after all kama upo huo mzigo)

Mizigo wanayobebeshwa sasa huioni kuwa imewalemea sana, wananchi wa Tanzania wanatunza marais WATANO!!!! Nyie hamuoni limzigo hili.

Nakwambia mara hii UKOME KUNIAMBUKIZA UJINGA.
 
nilikuwa naangalia umejiunga lini na JF, nikaona tarehe nikacheka sana mpaka majirani wakanishtukia na kuniuliza kulikoni? nikajibu maruhani ya JF yamepanda. Mbona haujauliza Jaji Nyarali alitoa wapi hiyo hoja? mbona haujauliza Jaji Kissanga alitoa wapi hiyo hoja? Mkataa kwao ni mtumwa!!!

Dogo acha ushabiki hakuna serikali 3 hapa labda zikaanzishwe chini ya bahari!
 
Jitokeze kujiandikisha ili uweze kushiriki kupiga kura ya ndio ili tupate katiba mpya,tanzania ya sasa na ijayo iko mikononi mwako,jitokeze sasa
 
Dogo acha ushabiki hakuna serikali 3 hapa labda zikaanzishwe chini ya bahari!
Jibu swali:Mbona haujajibu hili la Jaji Nyarali alitoa wapi hiyo hoja? Jaji Kissanga alitoa wapi hiyo hoja? au aliyekukaririsha hajakupa majibu. maana nasikia hujitegemei kwa majibu!! Acha dharau,eti unaniita dogo, katika kukua kwako uliwahi ninyweshe uji utotoni, uliwahi nituma kurudisha ng'ombe, kondoo na mbuzi machingani ili zisishambulie mazao ya watu. Acha dharau kwa sababu ya kutimiza mradi wako
 
Kwani wakati tunaunga ni wananchi wangapi waliulizwa, wangapi waliridhia serikali mbili.

Weka data hapa.

Kama waliamua Nyerere na karume peke yao, basi this time (kwa maana ya tume ya warioba) watanzania wengi sana wamependekeza aina ya muungano wetu.

Mkuu kwenye mjadala huu wengine tunapuuzwa sana. Mimi naona serikali mbili ni kiini macho, nchi mbili kuungana halafu kuwa na serikali mbili, ni muungano design ya fumbo la imani la utatu mtakatifu ndani ya umoja mkuu.

Kwanini hatuna serikali moja ndani ya miaka 50, kwanini tunafikiria kurudi nyuma na tusisinge mbele?
 
Mkuu kwenye mjadala huu wengine tunapuuzwa sana. Mimi naona serikali mbili ni kiini macho, nchi mbili kuungana halafu kuwa na serikali mbili, ni muungano design ya fumbo la imani la utatu mtakatifu ndani ya umoja mkuu.
Kwanini hatuna serikali moja ndani ya miaka 50, kwanini tunafikiria kurudi nyuma na tusisinge mbele?

Kwakweli kusema ni kazi rahisi. "Serikali mbili ni kiini macho" Mimi hujanishawishi bado hata kidogo. Huwezi kusema ni kiini macho wakati watu wengine wanatamani maisha ya Watanzania na kuomba kupata uraia wakijua hapo ndipo maisha yao yatakuwa na maana na manufaa, leo hii wewe unakaaa na kuafanya mambo yako hata kuweza kusema hayo. Anyway, maisha yako na jamii ni ya muhimu. Tuungane tujenge nchi yetu Tanzania.




Usitamani usichokijua na wala usitamani vitu vya watu wengine hata maandiko yanasema "Usitamani mali ya mtu mwingine". Tanzania tumeamua rasmi dhati kujenga nchi yetu yenye jamii inayoheshimu na kuzingatia misingi ya utu na udugu, uhuru, kujitegemea, haki, usawa, amani na utulivu, umoja na mshikamano katika nyanja zote za maisha yetu. Huo ni mwanga na msingi mwema wa nchi yetu.
 
Acha kumsingizia mzee nyalali hakusema haya ni matakwa ya wengi kama alivyosema waerioba. Nyalali alisema karibia asilimia 80 w wanataka mfumo wa chama kimoja uendelee na aslimia 20 wanataka vyama vingi.

Lakini warioba amelisha maneno kwa kusema rasimu yake ni matakwa ya wengi sasa mtuonyeshi kwa data wengi wapi hao
 
Kwa mantiki yako, je hao 333,537 wana haki gani kuwakilisha watu milioni 45? Kwa kuwa waliotoa maoni ya katiba ni wachache maoni yao hayakuwa na maana yoyote> Kwa nini mengine yaliyotolewa na watu wachache zaidi kuliko waliotoa maoni ya muundo wa serikali yalikubaliwa na kupitishwa?

jipange upya ndugu ndio maana umeedit hoja yako hii inaonyesha unabahatisha!
 
Back
Top Bottom