Kinjekitile junior
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 4,404
- 581
Haya ni maneno mnayoyapewaga kwenye semina elekezi eti "UZANDIKI" uzandiki ndio limnyama gani? Uzito wa serikali tatu wananchi wako tayari kuubeba (after all kama upo huo mzigo)
Mizigo wanayobebeshwa sasa huioni kuwa imewalemea sana, wananchi wa Tanzania wanatunza marais WATANO!!!! Nyie hamuoni limzigo hili.
Nakwambia mara hii UKOME KUNIAMBUKIZA UJINGA.
Wananchi wako tayari kubeba mzigo wa serikali 3 wawapi hao? Na umekutana nao saa ngapi ukawauliza! Kama huwezi kuchangia ni heri ukakaa kimya kuliko kutunga uongo,Serikali 3 ni mzigo kuanzia utawala na uendeshaji wake fikiri sawasawa na uniambie kama moja ikigoma kuchangia itakuaje?serikali gani isiyokuwa na ardhi?vyanzo vyake vya mapato n.k? Acheni kusindikiza ujinga tumeshatoka huko!!!