Bonsipele69
JF-Expert Member
- Feb 19, 2023
- 364
- 915
😁😁😁 daaah
Akiona uzi huu atasamehe muanze maisha[emoji28][emoji28]ndo kwanza Ex kajua nme pata mtoto tena mwaka tulio panga tupate mtoto me na yeye .kume chafukwa
Je mwanamke ambae ujamkuta bikra huwazi alivyokuwa anaikatikia kweny mahusiano yaliyopitaHata mpenzi wako uliyegongewa? Mnawezaje? Ukikumbuka na kupata picha alivyokuwa anaikatikia na kuirudishia mwenyewe inapochomoka, mnapata wapi hizo nguvu? Aaah!
Nimecheka kwa nguvu mno halafu ghafla kama tumachozi tunanilenga hivi.Ni bora kumvumilia mpenzi wako huyohuyo aliyekukosea kuliko kuanza kuongeza idadi ya mliowahi kudate na hatimaye kuwa Malaya. Hivyo ni bora kuwa mvumilivu kuliko kuwa Malaya.... Mbarikiwe!!!
Whatever ila hujanirudisha kwa ex Bado.Je mwanamke ambae ujamkuta bikra huwazi alivyokuwa anaikatikia kweny mahusiano yaliyopita
Wahi mkajenge familiaNimecheka kwa nguvu mno halafu ghafla kama tumachozi tunanilenga hivi.
Kwani umetafuniwa mjomba?😀Whatever ila hujanirudisha kwa ex Bado.
Mbele kuna maumv zaidi bora huyo uliemzoea unajua madhaif yake tyr kulko kwenda kubetDaima mbele, nyuma mwiko.
🤣🤣🤣Hata mpenzi wako uliyegongewa/chitiwa? Mnawezaje? Ukikumbuka na kupata picha alivyokuwa anaikatikia na kuirudishia mwenyewe inapochomoka, mnapata wapi hizo nguvu? Aaah!
Whatever, ila akishakuwa ex tayari ni ex, there's no turning back, with all these options, damn!Kwani umetafuniwa mjomba?😀
AmenNi bora kumvumilia mpenzi wako huyohuyo aliyekukosea kuliko kuanza kuongeza idadi ya mliowahi kudate na hatimaye kuwa Malaya. Hivyo ni bora kuwa mvumilivu kuliko kuwa Malaya.... Mbarikiwe!!!
We kuweza mkuu?
SIo familia tu bali jumuiya.Wahi mkajenge familia
Mlioa mna majanga sana, kwa hiyo mke wako akicheat ndo vitu hua wanafayanya? Dadeq na moyo mdogo takufa na pressureWe kuweza mkuu?