macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Huu ujinga huwa unanikera sana. Mwanzo nilidhani wanatumia fedha zao binafsi hivyo sikujaliNchi ya majuha hii. Hatua chache kutoka kwenye uwanja wa uliochezewa mpira kuna kinamama wamelala kwenye sakafu wakisubiri kujifungua na wengine wanafariki kwa kukosa dawa halafu kuna mpumbavu mmoja anatoa fedha kwa kila goli.
Hawana fedha binafsi hao wezi. Wanaiba. Hata kama wanapewa na wahindi bado ukweli ni kuwa hawapei bure.Huu ujinga huwa unanikera sana. Mwanzo nilidhani wanatumia fedha zao binafsi hivyo sikujali
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi yetu ni ya kipuuzi sana yaani.Hawana fedha binafsi hao wezi. Wanaiba. Hata kama wanapewa na wahindi bado ukweli ni kuwa hawapei bure.
Utayakuta mengi hatuna kitu kidogoVip limao nije nalo au vip pilipili na konyagi
Jitahidi zifike 5Basi naandaa chapati na pilipili zangu, tuonane Jangwani.
Zipo tayariTengezeni jezi/flana za 5G muuze kuinua uchumi wa club, sio kufikilia supu tu
Milioni 100 tumetoa 700m, 200m ya ziadaAlisema kila goli shs ngapi?
Siyo wa kafara ni wale wa5 aliotoa mwanachama wa kule Geita .Karibu sana tujumuike.Supu ya mbuzi na ngombe mlotoa kafara? Sinywi mtani
Maskini akipata ......................MBWATA!!Klabu ya Soka ya Yanga Sc, imeandaa sherehe fupi ya kuburudika na mashabiki wa Klabu hiyo kwa kunywa supu makao makuu ya Klabu hiyo yalioko Kariakoo mtaa wa Jangwani
Akizungumza na waandishi wa Habari Afisa Habari wa Yanga Sc Ally Shabani Kamwe, amesema kuwa wameandaa hafla hiyo fupi kwa lengo la kupata burudani ya pamoja na mashabiki wao siku ya jumapili ya wiki hii
Kama itakumbukwa mapema wiki iliyopita kabla ya mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga, Chama Cha Mapinduzi kupitia kwa Katibu Mwenezi wa NEC Mh. Paul Makonda, kilitoa ahadi ya kununua kila goli litakalofungwa katika mchezo huo kwa timu itayoshinda mchezo ambapo Yanga aliibuka na ushindi wa goli 1-5
#KishambaUPDATESView attachment 2808677
Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
Mwanalunyasi mwenzangu twende tukajumuikeMaskini akipata ......................MBWATA!!
Asante sanaMalimao na Pilipili juu yangu!!Nitakwenda kuvuna shamba Bagamoyo kwaajili ya Breakfast hii .
Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app