Jumapili ya supu jangwani

Jumapili ya supu jangwani

Nchi ya majuha hii. Hatua chache kutoka kwenye uwanja wa uliochezewa mpira kuna kinamama wamelala kwenye sakafu wakisubiri kujifungua na wengine wanafariki kwa kukosa dawa halafu kuna mpumbavu mmoja anatoa fedha kwa kila goli.
 
Sawa bwana mmeshika kwenye makali tutafanyaje sasa .

Ee mnyazi Mungu isaidie timu yangu irudi kwenye fomu kama hapo awali .

Hakuna mazuri yanayodumu ipo siku utainuka tena mnyama
 
Nchi ya majuha hii. Hatua chache kutoka kwenye uwanja wa uliochezewa mpira kuna kinamama wamelala kwenye sakafu wakisubiri kujifungua na wengine wanafariki kwa kukosa dawa halafu kuna mpumbavu mmoja anatoa fedha kwa kila goli.
Huu ujinga huwa unanikera sana. Mwanzo nilidhani wanatumia fedha zao binafsi hivyo sikujali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawana fedha binafsi hao wezi. Wanaiba. Hata kama wanapewa na wahindi bado ukweli ni kuwa hawapei bure.
Nchi yetu ni ya kipuuzi sana yaani.

Matajiri wanapewa fedha za kisiasa ambazo hata wasipopewa wao mambo yao yataenda tu bila tabu wakati tuna masikini wengi ambao wapo taabani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Klabu ya Soka ya Yanga Sc, imeandaa sherehe fupi ya kuburudika na mashabiki wa Klabu hiyo kwa kunywa supu makao makuu ya Klabu hiyo yalioko Kariakoo mtaa wa Jangwani

Akizungumza na waandishi wa Habari Afisa Habari wa Yanga Sc Ally Shabani Kamwe, amesema kuwa wameandaa hafla hiyo fupi kwa lengo la kupata burudani ya pamoja na mashabiki wao siku ya jumapili ya wiki hii

Kama itakumbukwa mapema wiki iliyopita kabla ya mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga, Chama Cha Mapinduzi kupitia kwa Katibu Mwenezi wa NEC Mh. Paul Makonda, kilitoa ahadi ya kununua kila goli litakalofungwa katika mchezo huo kwa timu itayoshinda mchezo ambapo Yanga aliibuka na ushindi wa goli 1-5

#KishambaUPDATESView attachment 2808677

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
Maskini akipata ......................MBWATA!!
 
Wajenge kwanza uwanja kigamboni walikopewa kiwanja bure
Na wakodi ofic posta wahame pale bondeni
Supu zenyewe za buku jero😂😂
Timu maskini wanawaza vitumbua vya miamia,🤣🤣
 
Back
Top Bottom