Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
πππChapati tano ni shingapi!?
Aloo ntawanunulia wananchiiiiiiiiiiiiiiiii 100 ngoja niandae kabisa hiyo 150k [emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]
Buku jero
Akili za maskini ni kuwaza kula chapati za mia3 bureeeTengezeni jezi/flana za 5G muuze kuinua uchumi wa club, sio kufikilia supu tu
π€£π€£WasaidieAloo ntawanunulia wananchiiiiiiiiiiiiiiiii 100 ngoja niandae kabisa hiyo 150k [emoji38]
Sawa bwana mmeshika kwenye makali tutafanyaje sasa .
Ee mnyazi Mungu isaidie timu yangu irudi kwenye fomu kama hapo awali .
Hakuna mazuri yanayodumu ipo siku utainuka tena mnyama
Unateseka ukiwa wapi Kolo?Huu ujinga huwa unanikera sana. Mwanzo nilidhani wanatumia fedha zao binafsi hivyo sikujali
Sent using Jamii Forums mobile app
Anakupa jibu GENTAMYCINEChapati tano ni shingapi!?
Wajenge kwanza uwanja kigamboni walikopewa kiwanja bure
Na wakodi ofic posta wahame pale bondeni
Supu zenyewe za buku jero[emoji23][emoji23]
Timu maskini wanawaza vitumbua vya miamia,[emoji1787][emoji1787]
Doh [emoji23]Anakupa jibu GENTAMYCINE
Wakati wengine wanateseka na masomoneko wananchi wanakula supu na vyapati [emoji2772][emoji2772][emoji23][emoji23]maisha ni kuchaguaKalimao na pilipili kwambareeeeee[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]!
Acha tushibe kwanza mawaidha utaleta baadaeWajenge kwanza uwanja kigamboni walikopewa kiwanja bure
Na wakodi ofic posta wahame pale bondeni
Supu zenyewe za buku jero[emoji23][emoji23]
Timu maskini wanawaza vitumbua vya miamia,[emoji1787][emoji1787]
I think hio idea mngeichukua nyie mtengeneze jezi ya kupigwa [emoji2393][emoji687] mtauza sanaAkili za maskini ni kuwaza kula chapati za mia3 bureee
Hawana mawazo mapya
Dunia haipo hivyo kaka yanguNchi ya majuha hii. Hatua chache kutoka kwenye uwanja wa uliochezewa mpira kuna kinamama wamelala kwenye sakafu wakisubiri kujifungua na wengine wanafariki kwa kukosa dawa halafu kuna mpumbavu mmoja anatoa fedha kwa kila goli.
Anakupa jibu GENTAMYCINE
Tano zimeleta ukichaaMwanaume ukijua tu Kukaza vizuri Kamba na yule Unayemkazia Kamba yake akifurahi basi tegemea tu kila wakati atakuwa anapenda Kukutajataja Mkazaji Kamba wake ili usiache na ukahamia Kuwakazia Kamba Wengine.
Alionao yule Aliyekuzaa. Pumbavu.Tano zimeleta ukichaa
Kale kwanza chapatii uje tuongeeI think hio idea mngeichukua nyie mtengeneze jezi ya kupigwa [emoji2393][emoji687] mtauza sana
Ichukue wewe maskinI think hio idea mngeichukua nyie mtengeneze jezi ya kupigwa [emoji2393][emoji687] mtauza sana