Jumapili yako.. Tuandikie neno moja la Biblia likupendezalo

Jumapili yako.. Tuandikie neno moja la Biblia likupendezalo

Lugano Edom

Senior Member
Joined
Dec 2, 2021
Posts
122
Reaction score
186
Maana Mungu hakutuitia uchafu, bali tuwe katika utakaso.Basi yeye anayekataa, hakatai mwanadamu bali Mungu, anayewapa ninyi Roho wake Mtakatifu.Katika habari ya upendano, hamna haja niwaandikie; maana ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu kupendana.
1 Wathesalonike 4:7-9
 
Wakolosai 3:5-6. Basi ueni chochote kilicho ndani yenu ambacho Ni cha kidunia; uasherati, uchafu, shauku, tamaa mbaya na uchu (ambazo Ni Sawa na kuabudu sanamu). Kwa sababu ya Mambo hayo hasira ya Mungu huwajia wote wanaomwasi.
 
Maana Mungu hakutuitia uchafu, bali tuwe katika utakaso.Basi yeye anayekataa, hakatai mwanadamu bali Mungu, anayewapa ninyi Roho wake Mtakatifu.Katika habari ya upendano, hamna haja niwaandikie; maana ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu kupendana.
1 Wathesalonike 4:7-9
Torati 8;11_20
Maana Mungu hakutuitia uchafu, bali tuwe katika utakaso.Basi yeye anayekataa, hakatai mwanadamu bali Mungu, anayewapa ninyi Roho wake Mtakatifu.Katika habari ya upendano, hamna haja niwaandikie; maana ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu kupendana.
1 Wathesalonike 4:7-9
Torati 8:11-20 utakapokula na kushiba na kujenga nyumba nzuri mali na fedha zako zikiongezeka usimsahau BWANA maana yeye ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri.
 
Back
Top Bottom