Jumatano, Yanga dhidi ya Namungo FC, tutasimama kwa Dakika 1 kuwashukuru Wanachama

Jumatano, Yanga dhidi ya Namungo FC, tutasimama kwa Dakika 1 kuwashukuru Wanachama

Franky Samuel

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2018
Posts
5,195
Reaction score
13,785
𝐑𝐄𝐒𝐏𝐄𝐂𝐓 π–π€ππ€ππ‚π‡πˆ[emoji617]🫑

Dakika ya 12 ya mchezo wetu wa Jumatano dhidi ya Namungo FC, tutasimama kwa Dakika 1 kuwashukuru Wanachama, Mashabiki na Wapenzi wa Klabu yetu waliosafiri kwenda Kigali, Rwanda na kutengeneza historia hii kubwa ya kuwa na Mashabiki wengi kwenye mchezo wa Ugenini.

Kutakuwa na π’π”ππ‘πˆπ’π„ πŠπ”ππ–π€ Mwananchi usikose!

#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
20230918_191040.jpg
 
𝐑𝐄𝐒𝐏𝐄𝐂𝐓 π–π€ππ€ππ‚π‡πˆ[emoji617]🫑

Dakika ya 12 ya mchezo wetu wa Jumatano dhidi ya Namungo FC, tutasimama kwa Dakika 1 kuwashukuru Wanachama, Mashabiki na Wapenzi wa Klabu yetu waliosafiri kwenda Kigali, Rwanda na kutengeneza historia hii kubwa ya kuwa na Mashabiki wengi kwenye mchezo wa Ugenini.

Kutakuwa na π’π”ππ‘πˆπ’π„ πŠπ”ππ–π€ Mwananchi usikose!

#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwikoView attachment 2753766
hii imeenda
 
Baada yahapo itukua nivirio na kusaga meno kwa wana utopolo
 
Mpaka mtakapotolewa hii ligi ya caf tutakuwa tumeona utopolo kama huu mwingi sana[emoji23][emoji23][emoji23]
 
ACHA yanga watambe Bwana.

1. RAIS Mzuri.
2. RAIS MSOMI.
3. VIONGOZI wazuri.
4. Coach Mzuri.
5. Wachezaji wazuri.
Zoazoa, max, Azizi Ki, Aucho nk

TAMBENI WANANCHI.
UPANDE WA PILI NI MISUMARI USHIRIKINA ULOZI NK.
 
𝐑𝐄𝐒𝐏𝐄𝐂𝐓 π–π€ππ€ππ‚π‡πˆ[emoji617]🫑

Dakika ya 12 ya mchezo wetu wa Jumatano dhidi ya Namungo FC, tutasimama kwa Dakika 1 kuwashukuru Wanachama, Mashabiki na Wapenzi wa Klabu yetu waliosafiri kwenda Kigali, Rwanda na kutengeneza historia hii kubwa ya kuwa na Mashabiki wengi kwenye mchezo wa Ugenini.

Kutakuwa na π’π”ππ‘πˆπ’π„ πŠπ”ππ–π€ Mwananchi usikose!

#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
View attachment 2753766

Kuna mtu Kafa?
 
𝐑𝐄𝐒𝐏𝐄𝐂𝐓 π–π€ππ€ππ‚π‡πˆ[emoji617]🫑

Dakika ya 12 ya mchezo wetu wa Jumatano dhidi ya Namungo FC, tutasimama kwa Dakika 1 kuwashukuru Wanachama, Mashabiki na Wapenzi wa Klabu yetu waliosafiri kwenda Kigali, Rwanda na kutengeneza historia hii kubwa ya kuwa na Mashabiki wengi kwenye mchezo wa Ugenini.

Kutakuwa na π’π”ππ‘πˆπ’π„ πŠπ”ππ–π€ Mwananchi usikose!

#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
View attachment 2753766
Haya ndo mambo mazuri ya kuweka hamasa.
 
𝐑𝐄𝐒𝐏𝐄𝐂𝐓 π–π€ππ€ππ‚π‡πˆ[emoji617]🫑

Dakika ya 12 ya mchezo wetu wa Jumatano dhidi ya Namungo FC, tutasimama kwa Dakika 1 kuwashukuru Wanachama, Mashabiki na Wapenzi wa Klabu yetu waliosafiri kwenda Kigali, Rwanda na kutengeneza historia hii kubwa ya kuwa na Mashabiki wengi kwenye mchezo wa Ugenini.

Kutakuwa na π’π”ππ‘πˆπ’π„ πŠπ”ππ–π€ Mwananchi usikose!

#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
View attachment 2753766
Haya ndo mambo mazuri ya kuweka hamasa.
 
ACHA yanga watambe Bwana.

1. RAIS Mzuri.
2. RAIS MSOMI.
3. VIONGOZI wazuri.
4. Coach Mzuri.
5. Wachezaji wazuri.
Zoazoa, max, Azizi Ki, Aucho nk

TAMBENI WANANCHI.
UPANDE WA PILI NI MISUMARI USHIRIKINA ULOZI NK.
Hehe tupeni maua yetu mapema
 
Back
Top Bottom