Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Msimame tu lakini refa hatasimamisha mchezo, na hii haitakuwa na maana yoyote... Dakika ya 12 ya mchezo wetu wa Jumatano dhidi ya Namungo FC, tutasimama kwa Dakika 1 kuwashukuru Wanachama, Mashabiki na Wapenzi wa Klabu yetu waliosafiri kwenda Kigali, Rwanda na kutengeneza historia hii kubwa ya kuwa na Mashabiki wengi kwenye mchezo wa Ugenini.