Jumatano, Yanga dhidi ya Namungo FC, tutasimama kwa Dakika 1 kuwashukuru Wanachama

Jumatano, Yanga dhidi ya Namungo FC, tutasimama kwa Dakika 1 kuwashukuru Wanachama

... Dakika ya 12 ya mchezo wetu wa Jumatano dhidi ya Namungo FC, tutasimama kwa Dakika 1 kuwashukuru Wanachama, Mashabiki na Wapenzi wa Klabu yetu waliosafiri kwenda Kigali, Rwanda na kutengeneza historia hii kubwa ya kuwa na Mashabiki wengi kwenye mchezo wa Ugenini.
Msimame tu lakini refa hatasimamisha mchezo, na hii haitakuwa na maana yoyote
 
Kuwa na akili mzee aliyekwambia mpira utasimama ni nani ??
Sasa kama mechi haitasimama, ina maana yoyote? Maana hata bila ya kuwakumbuka waliokwama Rwanda, bado watu huwa wanasimama kwenye viti vyao kwa midadi
 
Sasa kama mechi haitasimama, ina maana yoyote? Maana hata bila ya kuwakumbuka waliokwama Rwanda, bado watu huwa wanasimama kwenye viti vyao kwa midadi
Kipindi cha unbeaten ilikuwaje,yaan mpira unaendeleea mashabiki wanasimama wanapiga makofi
 
Back
Top Bottom