Jumatano, Yanga dhidi ya Namungo FC, tutasimama kwa Dakika 1 kuwashukuru Wanachama

Msimame tu lakini refa hatasimamisha mchezo, na hii haitakuwa na maana yoyote
 
Kuwa na akili mzee aliyekwambia mpira utasimama ni nani ??
Sasa kama mechi haitasimama, ina maana yoyote? Maana hata bila ya kuwakumbuka waliokwama Rwanda, bado watu huwa wanasimama kwenye viti vyao kwa midadi
 
Sasa kama mechi haitasimama, ina maana yoyote? Maana hata bila ya kuwakumbuka waliokwama Rwanda, bado watu huwa wanasimama kwenye viti vyao kwa midadi
Kipindi cha unbeaten ilikuwaje,yaan mpira unaendeleea mashabiki wanasimama wanapiga makofi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…