Jumatatu Machi 20, 2023 itakuwa siku ngumu kwa Serikali za Kenya, Tunisia, Nigeria na Afrika Kusini

Jumatatu Machi 20, 2023 itakuwa siku ngumu kwa Serikali za Kenya, Tunisia, Nigeria na Afrika Kusini

Ramaphosa wakiikamata popote hii ntu wapige mawe kabisa [emoji16]
South Africa sio kama Bongo Mzee, watu Wameandamana kama kawaida, nchi nzima....!

Na Malema kachimba Mkwara kama Ramaphosa asiporekebisha hasa Matatizo ya Umeme, next time ataitisha Maandamano ya Bila Kikomo....!

Cha ajabu toka Malema atangaze Maandamano leo ni siku ya 3 Umeme haujakatika.
 
Soon TANZANIA Inshaalah
Tanzania gani? Hii iliomualika Kamala Harris na Tony Blair ikulu. 🤣🤣🤣???

"In 15th April 2022, President Samia Suluhu Hassan and US Vice President Kamala Harris met at the White House in Washington DC pledged strong ties for the two nations."

Nyie jiandaeni kufeeranah tu maana viongozi wenu washasaini masharti ya hela za kujengea vyoo na madarasa toka World Bank.
 
Allah aepushie mbali hilo. Tunamuomba Allah atupe Amani katika nchi yetu. Na atuepushe na machafuko na vurugu za aina yoyote.
Mi natamani Vurugu zitokee tu ili nchi iwe reformed. Huu utawala wa kifalme na kulindana ufe kabisa ili nchi iwe na demokrasia ya kweli na uwajibikaji.
 
Mbona Tanzania nako gharama za maisha zimepanda?
Kwa walamba asali gharama hazijapanda. Ila ule wimbo wa "anaupiga mwingi" naona haupigwi sana siku hizi. Sijui CD imepata scratches!
 
#AFRIKAKUSINI: Maelfu ya Waafrika Kusini waliingia mitaani siku ya Jumatatu, katika maandamano yaliyopewa jina la 'National Shutdown' huku nchi hiyo ikikabiliana na masuala mengi, miongoni mwao; ukosefu wa ajira, kukatwa kwa umeme na ufisadi wa ovyo



 
Back
Top Bottom