Step by step
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 1,164
- 1,293
jambo wakuu.
Kama wiki mbili zimepita walivunja nyumbani kwangu mchana na kuiba hela, nguo, walet yenye vitambulisho vyangu na kubeba vitu kwenye dressing table.
Nilienda polisi kuripot na kupata RB.
Baada kama ya siku tatu kuna jirani angu kasahau mlango wazi ile anarudi anakuta simu mezani haipo ikabidi aite vijana wa mtaani wazunguke pande zote kufatilia ndipo wakamkuta jamaa walipomuhoji na kumsachi wakamkuta na hiyo simu na walet yenye driving licence yangu na atm card wakaniita manake wananifaham tukampeleka polisi baada ya kumgonga kidogo.
Mwizi kakiri mbele ya polisi na kachukuliwa maelezo yote.
Ijumaa kapelekwa mahakamani cha ajabu kakana kuwa hajawahi kuiba na hanijui ila wallet yangu bado iko polisi.
Jumatatu kesi inasomwa tena hebu nipeni uzoefu hapa nafanyeje
Kama wiki mbili zimepita walivunja nyumbani kwangu mchana na kuiba hela, nguo, walet yenye vitambulisho vyangu na kubeba vitu kwenye dressing table.
Nilienda polisi kuripot na kupata RB.
Baada kama ya siku tatu kuna jirani angu kasahau mlango wazi ile anarudi anakuta simu mezani haipo ikabidi aite vijana wa mtaani wazunguke pande zote kufatilia ndipo wakamkuta jamaa walipomuhoji na kumsachi wakamkuta na hiyo simu na walet yenye driving licence yangu na atm card wakaniita manake wananifaham tukampeleka polisi baada ya kumgonga kidogo.
Mwizi kakiri mbele ya polisi na kachukuliwa maelezo yote.
Ijumaa kapelekwa mahakamani cha ajabu kakana kuwa hajawahi kuiba na hanijui ila wallet yangu bado iko polisi.
Jumatatu kesi inasomwa tena hebu nipeni uzoefu hapa nafanyeje