House4Sale Jumba la kifahari ekari mbili ndani ya fence Kibamba kwa Tzs. 180m tanguliza 50m uingie

Corner plot Kama inavyoonekana ktk picha. Iko katika eneo lenye ukubwa wa 850 Sqm

Iko mita 100 kutoka Darajani barabarani.
Iko mita 30 kuiona bahari.
Bei: TZS. 100m

Umiliki: Hati ya serikali za mtaa

Service charge: TZS. 30,000 (Gharama ya kupelekwa kuona nyumba)
 
Nakitaka hicho kiwanja ila bei mbaya mkuu. Nitaivunja kila kitu chukua mwenyewe hadi misumari.
 
Nyumba ni ya kawaida bhana eti jumba[emoji854][emoji1][emoji1][emoji1]tembea uone mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…