JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Vipi ndugu, kwa hiyo wewe unafanya ibada peke yako?Kiukweli mi naamin Mungu yupo Ila hawa wanaojiita manabii na mitume / wachungaji wa makanisa na maaskofu wengi wanamuwakilisha Mungu isivyo , ...wamebase Sana kwenye kutoa Mali uwape , na kujilimbikizia huku waumini wakibaki stressed na ufukara wa kutupwa ..... Aiseee mi Kwa vile naifahamu biblia so najua uhusiano wangu na Mungu anataka nini , hawa watu sio wazur sana ..... Madam Mungu ashatupa vitabu vya dini is better tukatafta uhusiano wetu na yeye privately , ...... Hawa watu wengi wao sio wazur
Kwani nitaokolewa nikiwa nimeshikwa mkono na Nani?Vipi ndugu, kwa hiyo wewe unafanya ibada peke yako?
Nikipata ukweli kwamba ni ya Kakobe, nahama kanisa!!
Hahahahahaha ewe tomaso fungua machoNikipata ukweli kwamba ni ya Kakobe, nahama kanisa!!
Mbona hata wewe ulikuwa kondoo kuwaita wakuombee kwenye nyumba yako ya mauzauzaNinyi ni makondoo
Wapi huko?
Hakika mimi ni Tomaso! Bwana Mwokozi alisema "ni rahisi kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuuona ufalme wa mbinguni"!! Sasa unataka kusema Bwana wetu mwokozi alitupiga changa la macho, au ni hawa mitume wetu ndio hawalifuati neno la Mwokozi?!Hahahahahaha ewe tomaso fungua macho
Yesu akirudi kuwaona hawa wanaojiita manabii maisha wanayoishi, sambamba na yeye maisha alivyoishi. Atajikuta anacheka mwenyewe tu.
Maana atakutana na huyu Nabii anaishi kama mfalme, mara yule Nabii kamlaza kondooo kifo cha mende, sijui nani nani Nabii kafumaniwa na mke wa mtu, Nabii Rashidi kaiba kura (Nabii Mwizi). Hatari na nusu.
Wanaosubiri pepo watasubiri sana. Pepo ipo hapa hapa duniani na Askofu Kakobe ametuonesha kwa vitendo.
Wakikufungulia na kumsalimia unitag na mm niende kula kiyoyozi
Alafu kondoo wake wanaompa hela anawashindisha juani tena chini ya wire za tanesco za grid taifa
Mkuu unasali kwa Kakobe??Hakika mimi ni Tomaso! Bwana Mwokozi alisema "ni rahisi kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuuona ufalme wa mbinguni"!! Sasa unataka kusema Bwana wetu mwokozi alitupiga changa la macho, au ni hawa mitume wetu ndio hawalifuati neno la Mwokozi?!
Kuna mchungaji aliwahi sema duniani ukifa maskini we ni fala. Ndiyo maana kuna makanisa kila jpili zinatoka gari za SGA kukusanya mzigo.