David Ben Gurion
JF-Expert Member
- Nov 1, 2018
- 868
- 1,384
Ni nzuri na Inamfaa Sana kwa Hadhi yake ya Mhubiri wa Kimataifa...Angalau hata akipata wageni wa Kimataifa ana pa kuwapokea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni nzuri na Inamfaa Sana kwa Hadhi yake ya Mhubiri wa Kimataifa...Angalau hata akipata wageni wa Kimataifa ana pa kuwapokea.
Hapana Mkuu, sema zamani nilipokuwa Dar kuna demu ndie alinifanya niwe naenda nae huko ili kumridhisha lakini ilikuwa sana kutaka kujiweka karibu na huyo demu!! Si unajua tena ujana!!Mkuu unasali kwa Kakobe??
Wapi huko? Ona wanavyoishi maisha ya kifahari wakati waumini wao wanaishi maisha ya kikapuku
Acha unafiki Wala hujawahi kukanyaga kanisani Kwake.Waooh, !
Sie kondoo zake tunalala kwenye mbavu za mbwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116]Wanaosubiri pepo watasubiri sana. Pepo ipo hapa hapa duniani na Askofu Kakobe ametuonesha kwa vitendo.
Sasa wewe muumini wa Kakobe endelea kusema utatoboa ukifika mbinguni wakati kiongozi wako katobolea hapa hapa tena Kawe
Halafu wasiojua Ni kuwa waumini Tena bila kulazimisha walijichanga wakatoa wazo nchi nzima ndo wakamjengea hiyo nyumba. Hata Mimi japo Siyo muumini Kwake nilinyoosha Mkono kidogo.. kulingana na ninavyomfahamu na mafundisho yakeKazi aliyofanya ni kubwa ya kujenga Kanisa na umri wake umeenda,sasa kwa nini asimalizie maisha yake kifahari? Huu ndio muda wa yeye kufurahia matunda ya utumishi wake.
Unataka akuchukue ukaishi nae!!??Wapi huko? Ona wanavyoishi maisha ya kifahari wakati waumini wao wanaishi maisha ya kikapuku
Mkuu kuishi kifahari Ni dhambi?? Unajua Hapa ndipo namchukia Nyerere na Sera yake ya Ujamaa... Yaani inaonekana Kama kuwa na Mali Ni kosa kubwa sanaYesu akirudi kuwaona hawa wanaojiita manabii maisha wanayoishi, sambamba na yeye maisha alivyoishi. Atajikuta anacheka mwenyewe tu.
Maana atakutana na huyu Nabii anaishi kama mfalme, mara yule Nabii kamlaza kondooo kifo cha mende, sijui nani nani Nabii kafumaniwa na mke wa mtu, Nabii Rashidi kaiba kura (Nabii Mwizi). Hatari na nusu.
Kwani tatizo Ni Nini mkuu?Vijana tuache kueneza uongo usiokuwepo kama jamani [emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17] guys tuache hizi mambo za uongo uongo
Ndio maana aliunga mkono juhudi asifilisiwe
Basi na waumini wake nao waishi kifahari basiMkuu kuishi kifahari Ni dhambi?? Unajua Hapa ndipo namchukia Nyerere na Sera yake ya Ujamaa... Yaani inaonekana Kama kuwa na Mali Ni kosa kubwa sana
Sio zambi kabisa mkuu, ukzingatia jamaa halipi Kodi kabisa ya serikaliMkuu kuishi kifahari Ni dhambi?? Unajua Hapa ndipo namchukia Nyerere na Sera yake ya Ujamaa... Yaani inaonekana Kama kuwa na Mali Ni kosa kubwa sana
Ungejua Harusi za Namna hiyo zimewasaidia vijana wangapi wanaojielewa Wala usingesema... Vijana Wengi tuu wanatamani Ndoa Ila wakiangalia pa kuanzia hawaoni mwishowe wanaangukia kwenye Uzinzi na kuzalisha Jamii mbaya isiyo na maadili.. Huyo mzee msimchukulie Poa ana mafundisho flani amaizing ambayo yatakufanya uishi Maisha halisi Mungu aliyokuitiaHalafu akawaambia wale wanandoa wapande daladala na kuvaa zile lonyalonya .
Si jamani daah[emoji1][emoji849]
Basi na waumini wake nao waishi kifahari basi