Mkuu mbona ni jambo la kawaida na ushukuru amelipwa. Jay D kwenye ubora wake aliimba Muhogo wa Jang'ombe wa bi kidude na hakuna aliepiga kelele sikumbuk kama alilipwa yule Bib
Ila kwenye Tasnia ya Music hilo ni jambo la kawaida sana kwa wanamuzik kurudia nyimbo za wanamuzik wa zaman kwa makubaliano maalumu na sio kuishiwa
Hallelujah kaiga wapiIla kulipwa kalkpwa. Pesa kwanza vipaji baadae.
Zuwena pia,KU crew walirudia msafiri wa king kikii, Mtoto wa dandu alirudia Sina makosa,km sio MTU wa muziki unaweza kushangaa ,mifano ni mingi mno ,cjaona ubaya hapoMkuu mbona ni jambo la kawaida na ushukuru amelipwa. Jay D kwenye ubora wake aliimba Muhogo wa Jang'ombe wa bi kidude na hakuna aliepiga kelele sikumbuk kama alilipwa yule Bib
Ila kwenye Tasnia ya Music hilo ni jambo la kawaida sana kwa wanamuzik kurudia nyimbo za wanamuzik wa zaman kwa makubaliano maalumu na sio kuishiwa
Si msikilize nyingine!Sa hivi ukisikia WCB wanarelease ngoma mpya hamna hata ile hamu ya kusubiri kusikiliza wameimba nini
No creativity at all
Karudia wimbo michael Jackson itakua WCB?Na wao ni mwendo wa kurudiarudia nyimbo za wasanii wengine aka kuidokoa dokoa nyimbo za wengine
Huyo FA hata Kenya hawamjui bongo sijui watu huwa wanatakaje kila kitu ni shida ukimpikia ugali tembele ohhhh pesa hakuna muweekee biriani na wali Kuku ohhh ufujaji majigamboo yani hatuna jema hakuna jema kila kitu malalamishi tuYap, labda Rayvan na Harmo lkn mtu na dadayake hakunaga chamaana wanachoimba, watoto wa uswahilini waishia kusifia video zao. Wanakimbilia kutoa video ili kufunika mapungufu ya audio. Mondi hana mashairi ya kufikiria kwa sasa, anafanya biashara huku kila kukicha anawaza aimbe na nani wa nje ya nchi bila hata kuwaza anachotaka kukiimba. Sikiliza, Nana,Fire,waka, labda merry you inaonekana km alijiandaa. Hata km ni miziki ya club basi someni lyrics za kina shaggy, sean paul au beanman mbona wao wanapangilia vzr
wanachokiimba. Unakuta nyimbo unaimba kitu kile kile mara moyo wangu, mara kulewa. New msg ni kitu kizuri kwa mwanamzk lkn wetu hapa wanabdilisha title tu za nyimbo. Mwana FA ni mwanamzik wa mfano sn, ni km anafanya research ya nini kilichoko mitaani ndo anakuja na ngoma. Hipop kwa ujumla wapo vzr, bongoflava ya sasa bora usikilize singeli utakutana na mashairi yaliyo tulia.
Huyo FA hata Kenya hawamjui bongo sijui watu huwa wanatakaje kila kitu ni shida ukimpikia ugali tembele ohhhh pesa hakuna muweekee biriani na wali Kuku ohhh ufujaji majigamboo yani hatuna jema hakuna jema kila kitu malalamishi tu
Unajua kwamba "I will always love you" Whitney Houston alirudia licha ya kumpa umaarufu?Unajua wimbo wa kwanza kumpa umaarufu MJ akiwa na Jackson 5 "who is loving you"alirudia?the list goes on and on,kama umejulia muziki wakati wa bongo flava ficha ushamba wako
Sijakuambia MJ alianza Muziki na huo wimbo,unaweza kuanza muziki ukatoa hata nyimbo 10 usijulikane ila wimbo wa 11 ukakutoa!Goodie ndio aliwatoa J5 na hata siku ya ku celebrate maisha ya MJ alivyoitwa Smokey atoe eulogy yake alisema aliitwa na Goodie ampe surprise ndio akaona vijana 5 wadogo wakaimba who is loving you na MJ aliimba hadi ikabidi aulizoe birth certificate hakuamini umri ule anaweza kuimba vile!swali kwako;Inawezekana vipi Smokey Robinson asiwajue kabla ya hapo kama walikua maarufu?Co kweli kuwa who's loving u ndo ulimtoa michael, tofautisha kutoa albam ya kwanza na kutoka kimziki, Kipindi hicho j5 walikuwa underground na aliyewafanya wajulikane ni Diana Ross ambaye aliwachukua na kuwa anawashirikisha kwenye matamasha mengi.Pia uwezo mkubwa wa michael ktk kuimba ndo uliwaadmire watu, alikuwa mdogo na walikuwa wanazirudia nyimbo nyingi maarufu lkn kipindi kile cha utotoni usingeweza kuchukulia km alitoka au maarufu kimzk. Sema wewe ulipoanza kumfatilia ndo ukaja kuziona na hizo za nyuma, lkn cdhan km ulimjua Wacko kwa hizo za utotoni. Pia kuhusu I will always love you, kwanza whitney alianza kupata umaarufu mwishoni mwa miaka ya 80, sema kwa huku bongo tulichelewa kuwajua kutokana na technolojia haikua km hv leo. Albam ilyobeba wimbo wa How will I know ndo ilimpa umaarufu whitney US na duniani, hiyo unayoisema alitokanayo kwenye movie ya the bodyguard, ukiacha uwezo mkubwa alionao wa kuimba pia origin ya I will always love you ya Dolly Parton ni maadhi ya country music ambayo haikua na umaarufu huku kwetu km Rythm and Blues,hapo ndipo alipopata cr whitney. Sema kurudia nyimbo ya mtu ni kawaina ila usichanganye na kutoka kwao.
Sijakuambia MJ alianza Muziki na huo wimbo,unaweza kuanza muziki ukatoa hata nyimbo 10 usijulikane ila wimbo wa 11 ukakutoa!Goodie ndio aliwatoa J5 na hata siku ya ku celebrate maisha ya MJ alivyoitwa Smokey atoe eulogy yake alisema aliitwa na Goodie ampe surprise ndio akaona vijana 5 wadogo wakaimba who is loving you na MJ aliimba hadi ikabidi aulizoe birth certificate hakuamini umri ule anaweza kuimba vile!swali kwako;Inawezekana vipi Smokey Robinson asiwajue kabla ya hapo kama walikua maarufu?
Smokey aliitwa siku ya celebration na alitambulishwa kama mtu ambaye wimbo wake ulimtambulisha MJ duniani na ilikua siku ya watu ambao walimnyanyua au walinyanyuliwa na MJ kutoa ushuhuda acha ubishiSasa hilo swali unaniuliza mimi tena?me nmesema kipindi hicho hawakuwa na umaarufu wowote licha ya kuwa wanarudia nyimbo za watu, album ya 1969 Motown rec ilibidi waiite Diana Ross Representing J5, ili kuupa promo I want you back. Ndo maana Robnson alikua hawajui, walikua waimbaji wa stejini tu. Miaka ile pia mtu mweusi kutoka ilikuwa kazi, ndo walikuwa wanapeana support.
We jamaa inaelekea unajua muziki,uchambuzi wako uko makini sana!Wasanii wa sasa,hawa wanaosemekana kuwa "wakubwa" hasa huyu Diamond,wana mashairi ya kawaida saaaana,no creativity.Melody ni zilezile,ujumbe sio tu haupo,ila content ni ileile tu,yan unasikiliza nyimbo 10 zote ni za namna hiyohiyo!Cha kushangaza eti ndo wanavuma!Ukisiliza nyimbo 50 au zaidi za bob marley,hazifanani kwa namna yoyote ki-melody na ujumbe na zote ni nzuri na ni timeless,yan hazichuji.Yap, labda Rayvan na Harmo lkn mtu na dadayake hakunaga chamaana wanachoimba, watoto wa uswahilini waishia kusifia video zao. Wanakimbilia kutoa video ili kufunika mapungufu ya audio. Mondi hana mashairi ya kufikiria kwa sasa, anafanya biashara huku kila kukicha anawaza aimbe na nani wa nje ya nchi bila hata kuwaza anachotaka kukiimba. Sikiliza, Nana,Fire,waka, labda merry you inaonekana km alijiandaa. Hata km ni miziki ya club basi someni lyrics za kina shaggy, sean paul au beanman mbona wao wanapangilia vzr
wanachokiimba. Unakuta nyimbo unaimba kitu kile kile mara moyo wangu, mara kulewa. New msg ni kitu kizuri kwa mwanamzk lkn wetu hapa wanabdilisha title tu za nyimbo. Mwana FA ni mwanamzik wa mfano sn, ni km anafanya research ya nini kilichoko mitaani ndo anakuja na ngoma. Hipop kwa ujumla wapo vzr, bongoflava ya sasa bora usikilize singeli utakutana na mashairi yaliyo tulia.