ACHA NA MIMI NIFUTE WATU TONGOTONGO KIDOGO KISHA MWISHONI NITAZUNGUMZA KUHUSU HIZO DUA AZLIOFANYIWA HAYATI MWL J.K NYERERE
Maisha yamegawanyika katika sehemu kuu mbili:-
1. Ulimwengu wa roho
apa namaanisha ulimwengu usionekana kwa macho ya kawaida, hapa ndipo tuaminipo ktk Mungu na Ibilisi.
2. Ulimwengu wa nyama
ulimwengu ni katika vitu vyote ambavyo tunaviona kwa macho yetu ya kawaida.
Nianze kusema kuwa, Taifa la Tanzania limefika hapa lilipo kutokana na makosa yaliyofanywa na waasisi wa hili Taifa na wale ambao wapo pia madarakani ila sana sana ni waasisi, kwanini? kwasababu muasisi wa taifa ama waasisi wa taifa ni LANGO la taifa.
Lango ni nini? Katika tafsiri ya kawaida lango ama mlango ni sehemu inayopitisha kitu ili kuingia ndani, kama tunaona katika ulimwengu wa nyama kuwa ipo mipaka ya nchi ambayo mtu, wanyama n.k huingia ndani ya nchi husika, vivyo hivyo ipo milango ama lango katika ulimwengu wa roho ambao unapitisha mambo ya rohoni ndani ya nchi.
NOTE: Chochote ukionacho katika ulimwengu wa macho ya nyama, tambua kimeanzia rohoni. Hata katika uumbaji Mungu alianza kumuumba mwanamke na mwanaume ktk ulimwengu wa roho kisha ikaja kudhihirika ktk ulimwengu wa nyama.
Mnamo mwaka 1961, baada ya Waingereza kuiachia Tanganyika, waasisi wa hili Taifa wakiongozwa na Nyerere walitegemea saana ama niseme ni waamini wa ulimwengu wa roho ktk ufalme wa giza, hivyo walienda kwa wachawi wa nchi ama waganga ili kupata maarifa na akili ya kuiongoza nchi.
Moja ya vitu ambavyo vilitokea kwao ni kutopata tu maarifa na akili bali pia walitakiwa wakubali wachawi mazindiko ndani ya nchi, chama cha siasa TANU ambacho sasa hivi ni CCM kuzindikwa ama kuongozwa na serikali ama tawala za kuzimu Tanzania.
Nisizungumze mengi, nikatishe kwa kusema kuwa Mwl Nyerere kama kiongozi wa nchi ama muasisi wa Taifa hili, ndie alikuwa lango la kupitisha falme za giza ndani ya nchi ya Tanzania ambapo hata yeye mwenyewe hakujua kama haya anapitisha haya mambo ambayo yaliicost Tanzania kipindi kile na hata sasa. Hayati Baba wa Taifa angejua kama kupitia yeye anapitisha haya mambo wala asingekubali na kama angekuwa na nguvu ya kujinasua angefanya hivyo ila kwa bahati mbaya hakuwa nayo.
TURUDI KWEYE MADA
Dua alizosomewa Hayati JK Nyerere ndizo tunazoita ushirikina sana sana katika kusafisha Nyota, kwanini?
Mungu anapomuumba mwanadamu huwa anamuumba kwa jinsi yake nikimaanisha vinasaba, mtazamo, akili, nyota, hekima, maarifa n.k ila viongozi wengi wa nchi huwa wanapewa akili ya ziada na kupandikiziwa nyota ambazo sio za kwao. Wachawi/Waganga wana uwezo wa kutambua nyota ya mtu tangu akiwa mtoto na wana uwezo wa kutoa nyota yako na kumhamishia mtu mwingine, sio nyota tu bali hata nafsi na mengineyo.
Hayati Baba wa Taifa ni moja ya viongozi waliveshwa nyota ambazo hazikuwa ni za kwao, hizo nyota wachawi/waganga wanazimiliki sana huko kuzimu.
Embu jaribu kutafakari, endapo kweli Mwalimu Nyerere alikuwa na vinasaba vya uongozi, je katika watoto wote aliokuwa nao hakuna hata mmoja ambae ana vinasaba vya baba yake? HAKUNA, endapo uongozi wake ile hekima na maarifa na nyota yake alipewa na Mungu katika uongozi basi kati ya watoto wake wote alokuwa nao yupo mmoja walau angekuwa na characters kutoka kwa baba yake.
Watanzania tusiwasifu sana hawa wasomaji dua hususani wanaojiita wazee wa Dar es Salaam, ni washirikina wakubwa mno, maisha tunayoishi leo Watanzania ni matokeo ya maagano ya kuzimu na watawala wetu ndio maana leo hii akili za watanzania zimefungwa kutokana na yale mazindiko. Mtawala anaweza akafanya chochote na watanzania wasichukue hatua, UFISADI, WANYAMAPORI, DEMOKRASIA N.K watanzania tunalalamika kwa muda ila watawala kupitia wachawi wa nchi wanazima akili za watanzania na hawahoji tena wala hawakumbuki.
kwa leo nitaishia hapa ila ipo siku nitaandika kwa mapana mno kuhusu haya mambo, kwa wale msionielewa mnisamehe, sina kipawa cha kufindisha na haya nimeyaandika ghafla ila ipo siku nitayaandika kwa mpangilio mzuri kabisa.
Maisha yamegawanyika katika sehemu kuu mbili:-
1. Ulimwengu wa roho
apa namaanisha ulimwengu usionekana kwa macho ya kawaida, hapa ndipo tuaminipo ktk Mungu na Ibilisi.
2. Ulimwengu wa nyama
ulimwengu ni katika vitu vyote ambavyo tunaviona kwa macho yetu ya kawaida.
Nianze kusema kuwa, Taifa la Tanzania limefika hapa lilipo kutokana na makosa yaliyofanywa na waasisi wa hili Taifa na wale ambao wapo pia madarakani ila sana sana ni waasisi, kwanini? kwasababu muasisi wa taifa ama waasisi wa taifa ni LANGO la taifa.
Lango ni nini? Katika tafsiri ya kawaida lango ama mlango ni sehemu inayopitisha kitu ili kuingia ndani, kama tunaona katika ulimwengu wa nyama kuwa ipo mipaka ya nchi ambayo mtu, wanyama n.k huingia ndani ya nchi husika, vivyo hivyo ipo milango ama lango katika ulimwengu wa roho ambao unapitisha mambo ya rohoni ndani ya nchi.
NOTE: Chochote ukionacho katika ulimwengu wa macho ya nyama, tambua kimeanzia rohoni. Hata katika uumbaji Mungu alianza kumuumba mwanamke na mwanaume ktk ulimwengu wa roho kisha ikaja kudhihirika ktk ulimwengu wa nyama.
Mnamo mwaka 1961, baada ya Waingereza kuiachia Tanganyika, waasisi wa hili Taifa wakiongozwa na Nyerere walitegemea saana ama niseme ni waamini wa ulimwengu wa roho ktk ufalme wa giza, hivyo walienda kwa wachawi wa nchi ama waganga ili kupata maarifa na akili ya kuiongoza nchi.
Moja ya vitu ambavyo vilitokea kwao ni kutopata tu maarifa na akili bali pia walitakiwa wakubali wachawi mazindiko ndani ya nchi, chama cha siasa TANU ambacho sasa hivi ni CCM kuzindikwa ama kuongozwa na serikali ama tawala za kuzimu Tanzania.
Nisizungumze mengi, nikatishe kwa kusema kuwa Mwl Nyerere kama kiongozi wa nchi ama muasisi wa Taifa hili, ndie alikuwa lango la kupitisha falme za giza ndani ya nchi ya Tanzania ambapo hata yeye mwenyewe hakujua kama haya anapitisha haya mambo ambayo yaliicost Tanzania kipindi kile na hata sasa. Hayati Baba wa Taifa angejua kama kupitia yeye anapitisha haya mambo wala asingekubali na kama angekuwa na nguvu ya kujinasua angefanya hivyo ila kwa bahati mbaya hakuwa nayo.
TURUDI KWEYE MADA
Dua alizosomewa Hayati JK Nyerere ndizo tunazoita ushirikina sana sana katika kusafisha Nyota, kwanini?
Mungu anapomuumba mwanadamu huwa anamuumba kwa jinsi yake nikimaanisha vinasaba, mtazamo, akili, nyota, hekima, maarifa n.k ila viongozi wengi wa nchi huwa wanapewa akili ya ziada na kupandikiziwa nyota ambazo sio za kwao. Wachawi/Waganga wana uwezo wa kutambua nyota ya mtu tangu akiwa mtoto na wana uwezo wa kutoa nyota yako na kumhamishia mtu mwingine, sio nyota tu bali hata nafsi na mengineyo.
Hayati Baba wa Taifa ni moja ya viongozi waliveshwa nyota ambazo hazikuwa ni za kwao, hizo nyota wachawi/waganga wanazimiliki sana huko kuzimu.
Embu jaribu kutafakari, endapo kweli Mwalimu Nyerere alikuwa na vinasaba vya uongozi, je katika watoto wote aliokuwa nao hakuna hata mmoja ambae ana vinasaba vya baba yake? HAKUNA, endapo uongozi wake ile hekima na maarifa na nyota yake alipewa na Mungu katika uongozi basi kati ya watoto wake wote alokuwa nao yupo mmoja walau angekuwa na characters kutoka kwa baba yake.
Watanzania tusiwasifu sana hawa wasomaji dua hususani wanaojiita wazee wa Dar es Salaam, ni washirikina wakubwa mno, maisha tunayoishi leo Watanzania ni matokeo ya maagano ya kuzimu na watawala wetu ndio maana leo hii akili za watanzania zimefungwa kutokana na yale mazindiko. Mtawala anaweza akafanya chochote na watanzania wasichukue hatua, UFISADI, WANYAMAPORI, DEMOKRASIA N.K watanzania tunalalamika kwa muda ila watawala kupitia wachawi wa nchi wanazima akili za watanzania na hawahoji tena wala hawakumbuki.
kwa leo nitaishia hapa ila ipo siku nitaandika kwa mapana mno kuhusu haya mambo, kwa wale msionielewa mnisamehe, sina kipawa cha kufindisha na haya nimeyaandika ghafla ila ipo siku nitayaandika kwa mpangilio mzuri kabisa.

