Jumbe Tambaza: Alimsomea Nyerere dua nyota yake ikang'ara

Hapa cha uongo ilikuwa lazima uruke kiunzi ukikamatwa km kawaida yako.
Mtanganyika...
Ujuzi wangu uko katika nyanja hizo hapo chini.
Nilulize kitu kutokana na hayo nitakujibu ikiwa ninalo jibu:
  1. PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES
  2. The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.
  3. The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006
  4. Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.
  5. Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.
  6. Uchaguzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.
  7. In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).
  8. Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).
  9. Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)
  10. The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).
  11. Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).
  12. The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).
  13. Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).
  14. Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).
  15. Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).
  16. Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).
  17. Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.
  18. 14. Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.
  19. Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.
  20. Awards: Several Awards
  21. Visiting Scholar: (2011)
  22. University of Iowa, Iowa City, USA
  23. Northwestern University, Chicago, Illinois, USA
  24. Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.
  25. OTHER COUNTRIES VISITED
  26. Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.
 
Hivi kuna dua zinafanya nyota ya mtu ing'are ? Hizi imani hizi
Mkuu wewe ni dini gani?
Kama mkristo au muislam nakujibu ndio zipo dua kama hizo.

Ushahidi kisa cha Yakobo (Yakubu) na kaka yake. Baba aliomba mawindo ya Esau mzaliwa wa kwanza ale kisha ambariki lakini Yakobo kwa msaada wa mama yao alimzunguka kaka yake na kumlaghai baba kisha akabarikiwa yeye.

Mfano mwingine ni baraka za sadaka za Abel na Kaini. Abel alibarikiwa sababu ya sadska bora ndipo nduguye kaini akapata wivu akamuuwa.
 
Mzee si ungeenda mwomba na wewe akusomee nyota yako ing'are kama it works that way.😂😂😂
 
Mkuu yaandike
 
Mungu awarehemu wazee wetu waliotaabika ili sisi tuwe huru.
 
Kimbe...
Itabidi ustahamili kwani ikiwa unaishi sehemu ambapo wapo Waislam
ni lazima mambo kama haya utakutananayo lakini ni ya muda mfupi.

Sidhani kama inakuudhi kusikia adhana kila siku mara tano.
H
HISTORIA HII NI NZURI SANA. IMESAHAULIKA KABISA
 
Miaka fulani ya nyuma kulikuwa na mashindano ya kila mwaka ya mpira pale Don Bosco. Timu mbalimbali za mitaani na hata za sekondari zilikuwa zinashiriki mfano Kibasila, Azania, nk.

Maeneo ya Muhimbili walikuwa na timu yao. Wale jamaa nahisi walikuwa wanalala kwenye yale makaburi kabla ya game zao. Wachezaji wengi walikuwa wanaishi palepale karibu na yale makaburi, naamini baadhi wana uhusiano na huyu Babu. Walikuwa wakija kuna harufu fulani ilikuwa inatawala uwanja mzima.

Najua kuna watu wamo humu wanajua ninachokisema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…