Kwa mfumo wa jumia ulivyo, matapeli hawana nafasi. Orders zote wanazisimamia wao wenyewe.Ila cha msingi usilipie inawezekana ni matapeli wengine wamejiingiza
Siunajua wajanja wengi ukiongeza na mambo ya internet
Hakika hili inatakiwa lizingatiwe hata kwa mitandao mingine pia.Lipia mzigo ukifika au uende ofisini kwao ulipe na uchukue mzigo. Usifanye malipo online ikiwa hauna hakika ya unachokifanya.
Acha uongo mkuu...mm nimenunua kitu jana tu nimelipia baada ya kuridhika kitu kipo vzr tena ukishaweka oda wanakupigia simu kbs ku-confirm na mtu wa delivery akiwa anakuja unatumiwa msg jina na namba yake nayeye atakupigia simu. Labda ww hutumii Jumia tunayotumia sisi wengine acheni kuharibu biashara za watuWameniambia hakuna iyo kitu siku izi,,unalipa kwanza wanatuma bidhaa
Mkuu kwann niongope sasa??Na nimeleta huu uzi kuuliza tu ili niwe na uhakika so sina interest ya kuharibu biashara za watu,,nasema nilichoambiwa na jumia wenyweAcha uongo mkuu...mm nimenunua kitu jana tu nimelipia baada ya kuridhika kitu kipo vzr tena ukishaweka oda wanakupigia simu kbs ku-confirm na mtu wa delivery akiwa anakuja unatumiwa msg jina na namba yake nayeye atakupigia simu. Labda ww hutumii Jumia tunayotumia sisi wengine acheni kuharibu biashara za watu
Shukran mkuuJumia sio matapeli , ndio biashara ya mtandao yenye usminifu kwa hapa Tanzania
Yap wanafanya deliver tz yoteHawa jumia wanadeliver sehemu yeyote Tanzania?
Nipo mkoan mkuu ila nimeona tayar ukilipia kwa tigopesa wanaonyesha jina lao la kampun kabisa,,nazan sio matapeli jumiaUtapeli mtandaoni upo sana kuna mtu anaweza badilisha letter moja tu kwa anwani na usigundue kuwa upo kwenye wrong site. Lipia mzigo ukifika au uende ofisini kwao ulipe na uchukue mzigo. Usifanye malipo online ikiwa hauna hakika ya unachokifanya.
Jumia ya wapi hiyo mkuu Jana nimeweka order malipo baada ya kupokea mzigoMkuu kwann niongope sasa??Na nimeleta huu uzi kuuliza tu ili niwe na uhakika so sina interest ya kuharibu biashara za watu,,nasema nilichoambiwa na jumia wenywe
Ni kweli mkuu nimepata bidhaa yangu shukranMitandao yote ya manunuzi, Utaratibu ni kulipia kwanza.
Jumia wana utaratibu mzuri walio jiwekea, Fedha ukituma haiendi kwa muuzaji direct bali kwao jumia.
Hivyo ondoa shaka, utapata bidhaa unayoihitaji.
Nimelipa kwanza ndio wameleta mzigo utaratib umebadilika mkuu,,unalipia kwa tigopesa wanakupa namba ya kampuni ambayo ni 611644sio matapeli hata kidogo mm nmenunua vitu vingi kwao na hela unatoa mzigo ukishaupata anaetaka hela kabla ya bidhaa huyo ni tapeli
Mkuu wako vzr nimepata bidhaa yangu wala sio matapeli kabisaUtupe mrejesho ukinunua
Unalipa pale unapo pokea mzgo wako,na mtu atakae kuletea ndyo unamlipa.Kuna bidhaa nataka ninunue kupitia mtandao wa jumia lakin wanataka nilipie kabisa hapo ndipo nimepata ukakasi,,Mwenye uelewa kuhusu mtandao wa jumia naomba anisaidie au aliewahi kununua bidhaa Jumia Msaada wadau