Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Kwa mfumo wa jumia ulivyo, matapeli hawana nafasi. Orders zote wanazisimamia wao wenyewe.Ila cha msingi usilipie inawezekana ni matapeli wengine wamejiingiza
Siunajua wajanja wengi ukiongeza na mambo ya internet