Elections 2010 Jumla ya kura walizopata wagombea yazidi number of valid votes

Elections 2010 Jumla ya kura walizopata wagombea yazidi number of valid votes

wewe Mzee MKULIMA wacha kutetea ujinga, acha kutetea ufisadi utapigwa na MUNGU wako ambaye anasikia kilio cha wanyonge. Kama amekosea kutaja idadi za kura za TLP kwanini asilimia ziko sawa na data hizo. Punbafu wewe, fikiri kabla ya kutoka ujinga huu.
 
du!!! hao jamaa wa IT hawakuhudhuria kikao cha mwanza nini?? au ndiyo ule usemi kwamba kwenye crime hata kama wewe ni smart vipi lazima utaacha evidence.
 
du!!! hao jamaa wa IT hawakuhudhuria kikao cha mwanza nini?? au ndiyo ule usemi kwamba kwenye crime hata kama wewe ni smart vipi lazima utaacha evidence.

ni kweli kuna usemi usemao "there is no perfect crime" hata crime investigator mwenye uwezo wa kuficha ushahidi hudakwa.
 
Ina maana NEC hawajasoma hisabati za MAGAZIJUTO?
Lakini hili linawezekana kwa kuwa hata JK mwenyewe alikiri kuwa hapendi hisabati wa hesabu.
sasa sembuse Lewis Makame na Kravu?
Babasean, nikurekebishe kidogo hapo kwenye bold, si kweli kwamba alisema hazipendi hesabu bali alisema haziwezi hesabu. Kuna tofauti kubwa kati ya kupenda na kuweza though pia ukizichukia ni likely pia kutoziweza. Namshukuru kwa kuwa mkweli maana angesema anaweza ilihali mambo anayofanya ni kama mtu asiyeziweza hesabu then tungemkosoa. Hivi watanzania inakuwaje mnamchagua mtu hawezi arithmetic mathematics (+,-,/,*) ? No wonder anafanya vituko mnamlaumu wakati ni nyinyi wa kulaumiwa kwa kumpa mtu kazi asiyoiweza.
 
Katika hali ya kushangaza mh judge lewis makame ajichanganya kwenye kutaja matokeo ya mwisho ya urais.hivi ndivyo alivyosema:
valid votes-8398394
mziray-96933
kikwete-5276827
slaa-2271941
lipumba-695667
rungwe-26388
Tlp-17482
dovutwa-13176
nikifanya mahesabu ya kujumlisha ninapata utofauti wa vichwa 20 kati ya valid votes na kura walizopata wagombea.CHUNGUZA!!
That may reflect mpaka uwezo wa wanasheria wwetu waandamizi iwapo jaji Makame anakubali kuhusishwa na upupu kama huu wakati alishastaafu kwa heshima zote ==== ni nini anakosa mpaka anafikia kiasi cha kuaibika hivi? hivi alishindwa kuomba ajiuzulu baada ya kuona madudu haya?
 
mbona jk wetu ana nuksi ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia? Mara kasainishwa sheria ambayo baadhi ya vifungu havikujadiliwa bungeni, mara kakabidhi hundi yenye tofauti ya maneno na tarakimu, mara kakabidhi hoteli kisha kesho yake uzio ukabomolewa..........., nk!
 
mbona jk wetu ana nuksi ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia? Mara kasainishwa sheria ambayo baadhi ya vifungu havikujadiliwa bungeni, mara kakabidhi hundi yenye tofauti ya maneno na tarakimu, mara kakabidhi hoteli kisha kesho yake uzio ukabomolewa..........., nk! Sasa kura 20+! Kaaazi kweli kweli!
 
nakumbuka mwa
nzoni kabla ya kuanza kupiga kura tuliambiwa watu waliojiandikisha ni milioni 19 jana jaji makame anasema ni 20 milioni. chakachua ilikuwa ya hali ya juu sana
 
nakumbuka mwa
nzoni kabla ya kuanza kupiga kura tuliambiwa watu waliojiandikisha ni milioni 19 jana jaji makame anasema ni 20 milioni. chakachua ilikuwa ya hali ya juu sana

Mkuu hata mimi nakumbuka walisema wapiga kura waliojiandikisha ni mil 19. Jana Jaji Makame akasema mil 20. Sasa hao mil 1 waliandikishwa lini tena?
 
Back
Top Bottom