Jumla ya nchi 126 zimefunga anga zao hakuna ndege kupaa wala kutua, wale watalii wa hadi Agosti wanatokea wapi? Kwa kupitia anga lipi?

Jumla ya nchi 126 zimefunga anga zao hakuna ndege kupaa wala kutua, wale watalii wa hadi Agosti wanatokea wapi? Kwa kupitia anga lipi?

Dogo uko shallow sana bora unyamaze
Toa hoja! Ingekuwa hakuna ndege zilizokuja na watalii na ukasikia Serikali ikitangaza tutaleta watalii, hapo ndipo ungeuliza hao watalii watatoka wapi wakati nchi 126 zimefunga anga zao? Ndege zinakuja na zinaonekana zikishusha watalii. Wewe bado huamini kama kweli watalii watakuja! Unanisema mimi 'shalliow'! Nipanue akili yangu basi wewe uliye full mpaka unaona logic kwenye reasoning ya kutoamini wakati ndege tayari zinaleta watalii.
 

Sasa wewe jambo hilo la kufunga anga linakupa faraja gani? Kaa chini tafakari, fikiria ndugu na jamaa zako wote, kisha jiulize unafurahia ili iweje? Wewe kweli unapenda nchi, unawapenda watu, unawapenda na kuwajali ndugu zako? Hebu kifanyie tathmini kiwango chako cha ubinnafsi, kiwango chako cha chuki, jitathmini jinsi unavyouonea raha ubaya, dhiki na mahangaiko ya wengine. Hivi hata unajitambua wewe ni nani hasa?
 
Toa hoja! Ingekuwa hakuna ndege zilizokuja na watalii na ukasikia Serikali ikitangaza tutaleta watalii, hapo ndipo ungeuliza hao watalii watatoka wapi wakati nchi 126 zimefunga anga zao? Ndege zinakuja na zinaonekana zikishusha watalii. Wewe bado huamini kama kweli watalii watakuja! Unanisema mimi 'shalliow'! Nipanue akili yangu basi wewe uliye full mpaka unaona logic kwenye reasoning ya kutoamini wakati ndege tayari zinaleta watalii.
Unazidi kujionyesha jinsi ulivyo zaidi ya 'shallow'; ni total mjinga!

Onyesha hizo ndege na watalii uliowaona hapo uwanja wa ndege.
 
Hivi huyu Gado hatorudi tena Tanzania milele?
 
Back
Top Bottom