Mchokoo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 1,181
- 1,579
1) Magumashi katika usajiri wao. Tizama Baleke, Kapama, Okra, Banda, Okwa, Kibu, Watara.
Hawa ukiwachanganya na Boko utafungwa mpaka ucheke!
2) Wachezaji wanamwomba Mungu, hapohapo timu inaroga.
Mungu na ushirikina wapi na wapi? Yaani timu imewekeza sana kwenye matunguri kuliko viwango vya wachezaji.
3) Tuwe wakweli, mwekezaji wa Simba hana hela. Kama anazo basi ni bahiri hadi kapitiliza kipimo.
4) Simba ina mgogoro wa chini kwa chini.
Kuna mgawanyiko wa kuona jambo fulani haliko sawa.
Rejea, kuna waliojiuzuru nafasi zote za uongozi. Babra, Azim Dewji.
5) Kwa sasa timu ina viongozi mamruki, wasio na kauli yoyote ile, ni kama hakuna uongozi pale.
6) Mashabiki wamechelewa sana kujua hali mbaya ya timu yao. Ndiyo maana jana walijaza uwanja wakidhani ni ile simba ya kina Mikisoni.
7) Kuwadharau sana makocha wazawa kwa kuthamini wageni.
Hivi mgunda alikuwa na tatizo gani?
Jamani shida ya simba siyo kocha. Ni viwango duni vya wachezaji.
Ushaurii:
Ukipanda miiba, usitarajie kuvuna maparachichi.
Wanasimba na Mo wao, watakula kule walikopeleka mboga.
Hawa ukiwachanganya na Boko utafungwa mpaka ucheke!
2) Wachezaji wanamwomba Mungu, hapohapo timu inaroga.
Mungu na ushirikina wapi na wapi? Yaani timu imewekeza sana kwenye matunguri kuliko viwango vya wachezaji.
3) Tuwe wakweli, mwekezaji wa Simba hana hela. Kama anazo basi ni bahiri hadi kapitiliza kipimo.
4) Simba ina mgogoro wa chini kwa chini.
Kuna mgawanyiko wa kuona jambo fulani haliko sawa.
Rejea, kuna waliojiuzuru nafasi zote za uongozi. Babra, Azim Dewji.
5) Kwa sasa timu ina viongozi mamruki, wasio na kauli yoyote ile, ni kama hakuna uongozi pale.
6) Mashabiki wamechelewa sana kujua hali mbaya ya timu yao. Ndiyo maana jana walijaza uwanja wakidhani ni ile simba ya kina Mikisoni.
7) Kuwadharau sana makocha wazawa kwa kuthamini wageni.
Hivi mgunda alikuwa na tatizo gani?
Jamani shida ya simba siyo kocha. Ni viwango duni vya wachezaji.
Ushaurii:
Ukipanda miiba, usitarajie kuvuna maparachichi.
Wanasimba na Mo wao, watakula kule walikopeleka mboga.