Jumla ya wajumbe wanaoenda kupiga kura ni 996, zoezi la kupiga kura linaanza muda wowote kuanzia sasa

Jumla ya wajumbe wanaoenda kupiga kura ni 996, zoezi la kupiga kura linaanza muda wowote kuanzia sasa

Shughuli za uhakiki wa wajumbe wa mkutano mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) zimefanyika na kufikia muwafaka wa kupata idadi kamili

Ambapo Idadi ya wajumbe wanaoenda kupiga kura mpaka kufikia hatua ya sasa waliokamilisha uhakiki

118 - Kaskazini
91 kati
69 pwani
Viktoria 81
Pemba 65
Serengeti 92
Unguja 74
Kusini 92
Nyasa 112
Magharibi 94
Mabaraza 91
Kamayi Kuu 17

Jumla ya Wajumbe: 996

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?
CCM imeanguka
 
Shughuli za uhakiki wa wajumbe wa mkutano mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) zimefanyika na kufikia muwafaka wa kupata idadi kamili

Ambapo Idadi ya wajumbe wanaoenda kupiga kura mpaka kufikia hatua ya sasa waliokamilisha uhakiki

118 - Kaskazini
91 kati
69 pwani
Viktoria 81
Pemba 65
Serengeti 92
Unguja 74
Kusini 92
Nyasa 112
Magharibi 94
Mabaraza 91
Kamayi Kuu 17

Jumla ya Wajumbe: 996

Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?
Nilitazama mtandao wa wajumbe Kitaifa halafu ikaja namba 523 nikajiuliza muda huo. Hii maana yake ni nini? Kumbe ni...
513
482
1. Hilo nalo limeisha.
 
Back
Top Bottom