Jumuiya ya Mabaharia Tanzania, mada maalumu

Mabaharia vipi wana? natafua mtemba wa nguvu maisha ya bongo yashanichosha wana au vepee!
 
Nimemwelekeza zaman sana kuwa hakuna baharia anayeishi kwao, baharia hata kama huna godoro ghetto utalala hata kwenye mkeka
uwezi kuwapata hao mabaharia wanaoishi kwao!

mabahari wote wana mageto yao na kwa mabahari wasiokua na mageto wanaishi ata vichakani

alafu bila kusahau mabahari wote mbinguni
 
[emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
niwakumbushe mabahari wote

baharia atongozi msichana ukimpenda unamwambia tu kwanzia leo wewe utakua mpenzi wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…