Jumuiya ya Mabaharia Tanzania, mada maalumu

Duuuuh, mabaharia kazini.
Naona mpaka umepiga picha ya kibao cha ofisi ya mabaharia.
 
uwezi kuwapata hao mabaharia wanaoishi kwao!

mabahari wote wana mageto yao na kwa mabahari wasiokua na mageto wanaishi ata vichakani

alafu bila kusahau mabahari wote mbinguni
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Baharia hatakiwi kufanya mambo yafuatayo kutokanaa na katiba ya mabaharia ibara ya Kwanzaa sura ya Kwanzaa imeeleza baharia haruusiwi

.kuoga oga kila Mara hizo ni tabia za kike unaoga sana ili iweje uwe na ngozi ya nyororo kama demu? Baharia anaoga Mara moja kwa siku au haogi kabisa

Kula chips au ice cream pamoja na ukwaju kufanya hivyo kunatupa wasiwasi na jinsia yako

Kukaa au kuwa na demu mmoja tu hii inaashiria wazi kuwa utakuwa na upungufu wa nguvu za kiume baaharia lazima uwe na mademu wengi ukishindwa gonga sepa ukae nae sana kwani ndugu yako huyo


Baharia alii wala halalamiki hovyo hata ukimuumiza au kumchana na kitu kikali au uungue hata na moto ni kosa baharia kulia na nyongeza baharia lazima uwe na kovuu mwilini

Baharia wote wamoja haiwezekani atokee jinsia nyingine au mshangazi amletee za kuleta mwana au hata muhuni yeyote lazma tuungane kukuharibu

Baharia inabidi ufanye juu chini ulale hata lock Up au huishi hata miezi jela hili ni la muhimu Sana ukishindwa hakikisha umepigwa hata na police au umefanya vurugu

Baharia huruhusiwi kusafisha getho labda zarura pale patokeapo mechi pia ni marufuku kufua fua boksa kila saa umekua demu kwani soksi sharti zivaliwe wiki zinuke ni muhimu baharia kunuka mguu


Imetolewa na mwenyekiti anaemalizia mda wake chama cha mabaharia

Wizara ya wahuni na ustawi wa wasela na wana na mabaharia

Mwenyekiti kanda maalumu
S. L. P 3000

CC.@mlevimmoja
 
baharia lazima utembee na mke wa mtu..

baharia lazima ufumaniwe na mke wa shehe

baharia lazima ubet

baharia lazima uwe na boxa mbili tuu .

mabaharia wenzangu ongezeni sheria nyinginee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…