Neurologist
JF-Expert Member
- Nov 5, 2020
- 518
- 1,296
Anaongea kiswahili kizuri kabisa, halafu alikua na jamaa mwingine mchina sijui ni boyfriend wake, nae nikamuuliza unaitwa nani akaniambia anaitwa sajuki, honestly niliangua kicheko mbele yao halafu nikamuita Mr nikamwambia sajuki na esta wanataka kupanga apartment yetu ya sehemu fulani, Mr akaniambia waambie watoe ujinga hapa, nikamwambia yule dalali aliewaleta kwamba hatupangishi wachina
Ukifanya biashara na mchina lazima ataingiza mambo ya uwizi uwizi
Ova
Kwahiyo saivi shangwe tu sio bob?Huyu jamaa namjua halafu alikuwa ananidai[emoji23]
Aisee!!kweli si kila kweli inahitaji kusemwa...Asilimia kubwa ya waTanzania ni wezi ambao hawajapata fursa ya kuiba.....hayo makelele unayoyasikia sio uzalendo ni chuki ya kupitiwa mbali na mgao huo.......
heri ya nusu shari kuliko shari kamili, alieitwa dikteta uchwara katuacha ulimi nje!!Ma nchi kama haya ambayo watu wake kuiba wanaona ni moja ya njia ya kujipatia kipato ni bora kuwa na viongozi madikiteta tu kwa maana democrasia haiwezi kufanya kazi kwa Africa hata siku moja .
Hahahaha HahahaWachina ni mbwa niliwahi kuwapelekea pembe za ngāombe vingunguti wakatokomea na cash yangu hawafai hao
Kwaiyo unavofikiri wachimbaji wanauza wapi mali zao? Madini yanakwenda nje kila siku ata uwe na hasira kiasi gani ata uyo jamaa kachomwa tu na washikaji zake wa karibuUnaandika kama vile wezi hawafanyi makusudi.. Ebu acha wizi bana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninachoshangaa mbona wilaya na majimbo yenye Madini kama Dhahabu hakuna Maendeleo wakati Kodi zinazokatwa kwenye Madini hayo ni Kubwa shida ni nini? Au hakuna mgao unaobaki kwenye maeneo husika?Hiyo ni kati ya kilo 5 mpaka 7.... Bei ya leo ni 141,836/= TSH per GRAM.
1Kg=1000Gm piga hesabu wangepata kiasi gani cha fedha kama wangefanikiwa
ADHABU YAO.
.hiyo mali inataifishwa
.Kama walikua na gari inataifishwa
.Uhujumu uchumi inawahusu
.Account zao zitashikiliwa kwa muda mrefu so kurudi kwenye game asahau tena ingekua kipindi cha mzee ndo kwisha habari yake.
Lipa tozo/kodi ya serikali utafanya ujanja ila ukikamatWa umekwisha. Trust me kwenye madini ni balaa macho yamejaaa kila kona. wapo wanaofanikiwa pia ila mwisho hukamatwa tu.
Kama unafikili kuiba ni kitu chepesi hebu jaribu uone,utaishia kushindia mihogo ya kukaanga ya jero.Asilimia kubwa ya waTanzania ni wezi ambao hawajapata fursa ya kuiba.....hayo makelele unayoyasikia sio uzalendo ni chuki ya kupitiwa mbali na mgao huo.......
Hii kazi kweli kweli mwekezaji yaani ruksa kuwekeza kulipia kodi zote za uwekezaji halafu wachimbaji yaani ruksa kuchimba na kulipia Vibali na kodi zote za uchimbaji ila ukipata dhahabu ukieondoka nayo kwenda kutafuta soko hapana ni Mali ya umma wewe ni mwizi unatuibia madini yetu unatorosha madini sasa kwani walipewa vibali vya kuchimba nini ???? Sato ama ???mi sielewi hapaMkuu wa wilaya ya Ulanga, Ngolo Malenya na kamati yake ya usalama wamemkamata mwekezaji Mtanzania Junior Kasanga akishirikiana na watu wengine wakiwemo raia kutoka nchini China wakitorosha madini ya dhahabu waliyochimba kwenye mgodi uliopo kijiji cha Isyanga wilayani humo.
Katika andiko langu sijaandika kuwa kuiba ni kitu chepesi.....Kama unafikili kuiba ni kitu chepesi hebu jaribu uone,utaishia kushindia mihogo ya kukaanga ya jero.
Mgao ni wa taifa wanafaidika na miradi ya CSR zaidi......Ninachoshangaa mbona wilaya na majimbo yenye Madini kama Dhahabu hakuna Maendeleo wakati Kodi zinazokatwa kwenye Madini hayo ni Kubwa shida ni nini? Au hakuna mgao unaobaki kwenye maeneo husika?
Hili deni nilishalifutaš¤£Kwahiyo saivi shangwe tu sio bob?
Hii nchi ni tajiri mkuu hata Hapo ulipo huenda Kuna dhahabu ila wewe hujuiUlangw nako kuna dhahabu? Nchi hii yote ina dhahabu?