General Nguli
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 1,190
- 2,508
Huu upuuzi uko huko kwao mamaeee.Huyo mzungu huyo,hilo zalio la waafrica colony waliozaliwa huko.
Hata ndege hawatakiwi kupanda kwanza.
Mi ningeshamkata kofi mtoto na mamaake sa nyingi kummmmmae
Tena mnooo.Wazungu wanawavumilia sana watu weusi, wana attitude mbaya sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo mzungu huyo,hilo zalio la waafrica colony waliozaliwa huko.
Hata ndege hawatakiwi kupanda kwanza.
Mi ningeshamkata kofi mtoto na mamaake sa nyingi kummmmmae
Dah sometimes naona kama kwa watoto kutumia busara ni kumlemaza mtoto.Kusoma vitabu mzee
How to win friends and influence people
Nadhani kinahusika hapo
Dogo kachukuliwa kirahisi tu na kesi imeisha
Wenzetu wanasoma sana vitabu na unaona impact yake kwenye maisha halisi