Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Wanalea mitoto kama roboti😅😅😅
Wazungu kwa uzungu wamekutana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanalea mitoto kama roboti😅😅😅
Wazungu bwana. Shida ilikuwa mama wa kiafrica.Wazungu wanasolve matatizo Yao kwa hekima Sana...."you come with me to see how a plane flies,right?" Mdoli ukakubali.
Pia mama mzaramo anashauriwa asome vitabu vya namna ya kuwa mama Bora.
Nakubali. Sio marekani tu duniani koteMablack ndio waneuharibu marekani
Hebu tazama kama jambo dogo kama hilo badala amwambie Mtoto wake aache yeye anashambulia abiria ambaye kachokozwa.Wazungu wanawavumilia sana watu weusi, wana attitude mbaya sana
Kusoma vitabu mzeeWazungu wanasolve matatizo Yao kwa hekima Sana...."you come with me to see how a plane flies,right?" Mdoli ukakubali.
Pia mama mzaramo anashauriwa asome vitabu vya namna ya kuwa mama Bora.
Cc SYLLOGIST! 😎Wazungu wanawavumilia sana watu weusi, wana attitude mbaya sana
Ngozi nyeusi inakazi sana ingefaa tuwe dunia yetu ili tuwezane wenyewe
ha ha haaaaaaa umeuwaWanawake weusi wa Kimarekani ni version fulani hivi ya Kizaramo iliyo mbele...🤣
Yaani wao ushari ushari tu kila wakatiWanawake weusi wa Kimarekani ni version fulani hivi ya Kizaramo iliyo mbele...🤣
Wanatutilia aibu tu mbele hukoHao sio wazungu ni black American
Ana inferiority, hapa alikua anajaribu kulazimishia tukio lionekane amefanyiwa ubaguzi.Hebu tazama kama jambo dogo kama hilo badala amwambie Mtoto wake aache yeye anashambulia abiria ambaye kachokozwa.
NaonaAna inferiority, hapa alikua anajaribu kulazimishia tukio lionekane amefanyiwa ubaguzi.
Mwenye mtoto ni mweusi, wa mbele ndio wazungu.... mtoto wa kizungu na wa Kiafrika ni mbingu na ardhiWanalea mitoto kama roboti😅😅😅
Wazungu kwa uzungu wamekutana.
Huyo mzungu huyo,hilo zalio la waafrica colony waliozaliwa huko.Usikute hako katoto kana mnyonyaa mama ake puss.
Maana maisha ya wazungu hakuna kisicho wezekena.