CHIN
Member
- Sep 20, 2017
- 28
- 13
Kwa man u hapana kwakwel labda niende palace nishuke naoNa sasa hivi hatupokei mashabiki wapya bila kuwafanyia usaili,wasije wakawa makinikia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa man u hapana kwakwel labda niende palace nishuke naoNa sasa hivi hatupokei mashabiki wapya bila kuwafanyia usaili,wasije wakawa makinikia.
Ko
Komaa mkuu, mi hadi nimeamua kunenepa tu maana Wenger amezingua hadi nimezoea
Sema humu matusi hayaruhusiwi... ***** kroenke
Nimecheka sana. Na inaskitisha!Sema humu matusi hayaruhusiwi... ***** kroenke
Leo mnasemaje haters wa JK the Normal one but wonderful?Wote watakuwa wanaona aibu kwasasa