Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Angalia mwenendo wa Liverpool , utajiridhisha kwamba soka haichezwi mdomoni .Inaonekana una jazba sana mkuu, calm down
True, na inaonekana mmemchoka.... Pole, mlitucheka janaAngalia mwenendo wa Liverpool , utajiridhisha kwamba soka haichezwi mdomoni .
Jamani, tukubali kitu kimoja, liver ni timu ya kawaida siku hizi, tusilazimishe iwe timu kubwa kwa sasa. Walipo sasa ni saizi yao.Sasa ni dhahiri kwa mwenendo wa timu ya Liverpool , hakuna namna nyingine ya kuiokoa zaidi ya kumtimua kocha wake .
Mpaka dk 64 ilishatandikwa mabao 4-1 na timu ya kawaida sana ya Totenham Hotspurs , hakuna dalili ya kukomboa mabao haya , na hii ni ishara mbaya mno kwa Liver , Kwa ilipofikia Klopp atupiwe virago vyake timu ianze upya.
Klopp ni bingwa wa kuongea na kubwabwaja huku akisahau kwamba soka si sawa na Ngonjera .
Spurs ya sasa ndiyo Liverpool ya miaka iliyopita na Liverpool ya sasa ndiyo spurs ya miaka iliyopita kwa kiwango.Jamani, tukubali kitu kimoja, liver ni timu ya kawaida siku hizi, tusilazimishe iwe timu kubwa kwa sasa. Walipo sasa ni saizi yao.
Ivi baada ya kukazwa mbili juzi alisemaje...?Hakuna timu isiyofungwa!
Jana tu "mropokaji"katulizwa.
Ligi bado mbichi .
Hivi kwenye timu zenye kikosi kikali Man U kumbe nayo imo !Mpira umechezwa vizuri tu, hilo ndo game siyo unaingia uwanjani umejihakikishia ushindi! Man U mwenyewe pamoja na kuwa na kikosi hatari kapgwa 2-1 sasa tatizo liko wapi? Liverpool wakifanikiwa kupata beki za uhakika itasaidia sana, Lovren na Matip siwakubali kihivyo! Labda VvD akitua Liverpool hiyo January itasaidia! Jana Liverpool kamiliki mpira vizuri tu wala siyo uzembe wa Jurgen Klopp!
Hili jambo watu wengi hawependi kulikubali lakini ni ukweli. Mi naona iko level za Southampton.Jamani, tukubali kitu kimoja, liver ni timu ya kawaida siku hizi, tusilazimishe iwe timu kubwa kwa sasa. Walipo sasa ni saizi yao.
Mtimueni tu, buyern wanamtaka!Itakuwa kosa kubwa sana kumtimua klop...
Mkuu yakiingia uwanjani huwa yanatisha!! Ila yakifungwa huwa yanatepeta!! Sisi Liverpool tatizo letu ni mabeki. Jana tumemiliki mpira mwanzo mwisho, lakini tukipigwa shambulizi lazima tufungwe!!Hivi kwenye timu zenye kikosi kikali Man U kumbe nayo imo !