Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu jembe shivji cha mtoto
duhhh!! una mahaba mpaka shetani anaogopa!. Tundu Lisu kafikia level ya Shivji tena!!!Lissu jembe shivji cha mtoto
Ccm hawaupendi huu ukweli! Lkn ilikua Ni jambo zuri kwa taifa kujivunia Kua Na watu Km Hawa bila kujali itikadi za kisiasa!
Mfano tuko na Mh Lipumba, Huyu mtu amefanya kz mpk nje ktk taaluma yake ya uchumi! Ni vzr sn kwa taifa kuwatumia watu Km Hawa ktk kujenga taifa sio kuwaterekeza!
Hapo kwenye Bold ulitaka kusema nini!?
Issue ya Lipumba, kuna watanzania zaidi ya 20,000 wapo nje ya nchi wanafanya kazi za kitaluuma! Wala usifikiri kuwa Prof. Lipumba ni exceptional sana..wapo watu wanafanya kazi huko nje miaka nenda rudi, tatizo kwa vile Lipumba yupo kwenye siasa na hazimsaidii!
Ccm hawaupendi huu ukweli! Lkn ilikua Ni jambo zuri kwa taifa kujivunia Kua Na watu Km Hawa bila kujali itikadi za kisiasa!
Mfano tuko na Mh Lipumba, Huyu mtu amefanya kz mpk nje ktk taaluma yake ya uchumi! Ni vzr sn kwa taifa kuwatumia watu Km Hawa ktk kujenga taifa sio kuwaterekeza!
Hapo kwenye Bold ulitaka kusema nini!?
Issue ya Lipumba, kuna watanzania zaidi ya 20,000 wapo nje ya nchi wanafanya kazi za kitaluuma! Wala usifikiri kuwa Prof. Lipumba ni exceptional sana..wapo watu wanafanya kazi huko nje miaka nenda rudi, tatizo kwa vile Lipumba yupo kwenye siasa na hazimsaidii!
Mkuu bila Shaka Labda haukunielewa vzr ktk hoja yng!
Niliposema kwa mfano, tuko Na Lipumba" kauli Hiyo nimetoa nikimaanisha Kua tuko na wataalam wengi tu! Lkn ili hoja yng ieleweke kirahisi Ni vema kutoa mfano kwa mtu anaejulikana kidogo ili mtu aweze kuelea dhumuni la hoja yng!
Na pia nafahamu tuna wataalamu wengi sn ndani na nje, Kwahiyo Lipumba sio Wa kipekee!
Na vilevile nimesema kwamba binafsi nathamini michango ya watalaamu, hapa nimekusudia kwamba tuko na wataalamu wengi Zaidi ya Huyo niliye mtolea mfano!
Asante!
duhhh!! una mahaba mpaka shetani anaogopa!. Tundu Lisu kafikia level ya Shivji tena!!!
Ccm hawaupendi huu ukweli! Lkn ilikua Ni jambo zuri kwa taifa kujivunia Kua Na watu Km Hawa bila kujali itikadi za kisiasa!
Mfano tuko na Mh Lipumba, Huyu mtu amefanya kz mpk nje ktk taaluma yake ya uchumi! Ni vzr sn kwa taifa kuwatumia watu Km Hawa ktk kujenga taifa sio kuwaterekeza!
Hapo kwenye Bold ulitaka kusema nini!?
Issue ya Lipumba, kuna watanzania zaidi ya 20,000 wapo nje ya nchi wanafanya kazi za kitaluuma! Wala usifikiri kuwa Prof. Lipumba ni exceptional sana..wapo watu wanafanya kazi huko nje miaka nenda rudi, tatizo kwa vile Lipumba yupo kwenye siasa na hazimsaidii!
yeah, ni majanga tu yanayotupata binadam. kumbuka hujafa hujaumbika. MKUU WA KAYA jiepushe sana na kutembea na wake za watu yasikupate yaliyonikuta, mdomo wangu ukawa kama kasuku...Mkuu hiyo avatar yako tu!
![]()
Umemdhalilisha LisuTL mmoja sawa na Olesendeka 20 plus Werema 10
Wako nje wanafanya kazi kulitumikia taifa la Tanzania au wanafuata maslai yao binafsi na jamii yao. kama kweli wana uzalendo na nchi yao basi waonyeshe matendo yao kwa kulitetea na kulitangaza taifa letu na siyo kuficha majina yao na wengine kununua utaifa wa nchi nyingine kwa maslahi yao binafsi
Nyalandu Membe Mgimwa Gavana Balali Ami Mpungwe wana uraia wa nchi za njee unategemea nini hapo?
Jusa ambaye alipewa nafasi ya kipekee na Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalum la Katiba Mh. Pandu Kificho kutoa mchango wake kuunga mkono hoja ya Rasmi ya Kanuni alisema; Kwa namna ya pekee tunamshukuru mjumbe mwenzetu kwa mchango mkubwa na uelewa na utundu wake katika kusoma mambo mbalimbali yahusuyo sheria, kanuni na kuziweka kwenye matendo, kwa kweli ametoa mchango mkubwa sana wa ubunifu na utayarisha bora wa hii kanuni...
Hongera Lissu na wajumbe wenzio kwa mchango wenu kwa Taifa hili. Mungu awabariki.
Jusa ambaye alipewa nafasi ya kipekee na Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalum la Katiba Mh. Pandu Kificho kutoa mchango wake kuunga mkono hoja ya Rasmi ya Kanuni alisema; Kwa namna ya pekee tunamshukuru mjumbe mwenzetu kwa mchango mkubwa na uelewa na utundu wake katika kusoma mambo mbalimbali yahusuyo sheria, kanuni na kuziweka kwenye matendo, kwa kweli ametoa mchango mkubwa sana wa ubunifu na utayarisha bora wa hii kanuni...
Hongera Lissu na wajumbe wenzio kwa mchango wenu kwa Taifa hili. Mungu awabariki.