Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,991
- 24,211
Kama maabara sawa
P, V, T are constant
P, V, T are constant
...hapana bana...nilijifunza mental discipline miaka ile ya unjuka boarding school...
Enzi hizo Disco za wanafunzi DJ anaunganisha blues zote za Lionel Richie kuanzia
stuck on you, hello, 3times a lady, kisha time after time ya Cyndi Lauper kabla hajamalizia na
Sexual healing ya Marvin Gaye..- kizani!
kufumba na kufumbua ukumbini taa zinawashwa halafu DJ anaweka Oye co Mova...-Santana.
Kwakuwa niliijua routine, haikuwa taabu ku switch off akili kabla ya kuadhirika na suruali zangu
za mchele mchele miaka hiyo...
Huku ukubwani it's the same...na switch off tu mawazo ya ushwetani, hata kama na share kitanda!