Just a friend na matatizo yake.....

Kama maabara sawa
P, V, T are constant

 

Unawezaje kumeza hizo feeling zisionekane?
 
Kama maabara sawa
P, V, T are constant

...lol,bado nawashangaa mnaona ugumu gani jambo hili...
self discipline bana, siendekezi mfadhaiko...hasara yake kubwa
kuliko starehe ya dakika chache.
 
Kuna vitu vingine
viko worth hiyo risk

anyway, si kila mmoja huwa hivyo
kuna mmoja..!!
Itakuwa ngumu sana kuvumilia


...lol,bado nawashangaa mnaona ugumu gani jambo hili...
self discipline bana, siendekezi mfadhaiko...hasara yake kubwa
kuliko starehe ya dakika chache.
 

...lol,bado nawashangaa mnaona ugumu gani jambo hili...
self discipline bana, siendekezi mfadhaiko...hasara yake kubwa
kuliko starehe ya dakika chache.



NaLIKE kwa herifi kubwa!!
 
Reactions: Mbu
Kuna vitu vingine
viko worth hiyo risk


anyway, si kila mmoja huwa hivyo
kuna mmoja..!!
Itakuwa ngumu sana kuvumilia

...sasa mkishamaliza utamtizamaje rafiki yako?
si utakuwa ume m betray trust yake? no way bana, mimi urafiki ni bora kuliko
'ubakaji'....

...tried and tested several times bila athari yoyote...the worst, ipo siku alizimika kabisa
sababu ya shots (baileys, bacardi, tequila)...nilichofanya ni 1st aid, kumkogesha na kumlaza.
Heshima na adabu mpaka leo...:A S-coffee:
 
Haiwezekani kaka especially kama nma-hang-out pamoja muda mrefu mtaishia ku-do tu! (I m talking with experience)
 
The Boss what do you mean? Just friends ni tofauti na best friends. so hapa tunaongelea which of these two?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…