Kama ukichunguza utagundua kuwa wanawake wengi ndo hudhania inawezekana.....ila kama alivyosema Boss....wanawake hawajui tu hao "rafiki" zao wa kiume wameshawavua nguo mara ngapi vichwani mwao.
Niliwahi kuanzisha mada kama hii hii zamani kidogo....ngoja niitafute
hapo sasa, rafiki yangu The Boss anasema kama inapatikana free hakuna kujali kiwango, lol!ah sana tu
how can u make lv na mwanamke/me asiyekuvutia?
hiyo ni kufanya ngono na si mapenzi
Asante FP. . .sikubaliani na wewe kwa hili. nipo kwenye ndoa kwa miaka 13 sasa, na wote tunajua kwamba hakuna ndoa iliyo smooth. marafiki zangu wakubwa ni wakaka. na wengi wameshaji-express themselves, lakini kwa vile nawahitaji, nimekomaa nao for the sake of our friendship. nakumbuka kuna kipindi ndoa yangu ilikuwa inazama, aliyeiokoa ni a male friend, ambaye naweza kusema alinipenda sana, na mpaka leo namheshimu kwa huo ukomavu wake. alijua msimamo wangu, na aliniheshimu sana, hata hayo yalipotokea hakutaka ku-take advantage, maana aliniambia asingejisamehe.
Wakishawavua wanafanya nini?
Kama mtu anavutia hata stranger atamvua tu kwahiyo mpaka hapo sioni tatizo.
mi nafikiri majority wanachokisema ndo huwa 'ukweli wenyewe'
hata kama wapo wachache ni tofauti sio?
ukweli sijaacha kumheshimu na kumshukuru, alikuwa kama malaika katumwa kunilinda. hadi leo tukiongea anajishangaa kilichotokeaAsante FP. . .
Kinachohitajika ni ukomavu wa kifikra na kihisia. . .huyo rafiki yako mheshimu sana maana ni mmoja wa wachache.
Good luck finding a man who will not have an issue with you having male friends that you communicate and kick it with!!
Tatizo ni kwamba wengi hawaheshimu matakwa ya wenzao, mahusiano wenzao au hata yao wenyewe. Hapo ndipo tatizo linapoanzia. Maana tamaa/kuvutiwa hiyo inatokea muwe marafiki au la, kinachohitajika ni uelewa/heshima na ukomavu. Na ikiwa mtu hawezi kukataa eti kisa aliyemtaka ni "rafiki" basi jua hata wasio marafiki hatoona ugumu wowote kuwakatalia.ukweli sijaacha kumheshimu na kumshukuru, alikuwa kama malaika katumwa kunilinda. hadi leo tukiongea anajishangaa kilichotokea
Heehhehe AHSANTE.
Vigezo na masharti vitazingatiwa.
Alafu hivii. . .would you rather your girl friend/mupenzi/wife be one of those ladies with a male friend that they have already established what kinda relationship they want to have and you are aware of or one that doesn't but still finds herself hooking up with guys you don't know?
Asante kwa kunirekebisha, next time nitasema hivo. Kaniudhi kwa mbaaaali.Hapo kwenye red tunakuchaji faini ya kuharibu msemo
Ujue huu una hati miliki ya watu
Ngoja niwa-PM Lizzy na TF
Anyway, ukitaka kuutumia tena,
Kopi kwa ufasaha
"Sikujui, hunijui achana na mimi na ukafie mbele". Founders(Lizzy & The Finest, 2011) ,(Revision & Promotion) Kongosho, 2012.
Asante kwa kunirekebisha, next time nitasema hivo. Kaniudhi kwa mbaaaali.
Thanks RR kwakunifutia ile kitu, ngoja nirudi niliko kua mimi, naona sina mood ya kuchokozwa leo. lol
Either way is a bad proposition.
But then again people are different. If some people can marry or date porn stars I don't see why one couldn't find a partner who is okay with having friends of the opposite sex.
Different strokes for different folks!
Hapo kwenye red tunakuchaji faini ya kuharibu msemo
Ujue huu una hati miliki ya watu
Ngoja niwa-PM Lizzy na TF
Anyway, ukitaka kuutumia tena,
Kopi kwa ufasaha
"Sikujui, hunijui achana na mimi na ukafie mbele". Founders(Lizzy & The Finest, 2011) ,(Revision & Promotion) Kongosho, 2012.
Having a partner you can't/won't trust is a bad deal every day of the week. Subiri upewe sababu ndio uanze kuwana wasiwasi.