Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
Tayari wapo waliosema wana experience kwahiyo hamna cha "hawajaexperience". . . au unataka mpaka wajaribu kwako ndo utaamini kwamba inawezekana?inawezekana wachache hao
hawaja experience ndo maana wanasema hivyo