sixgates
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 3,979
- 1,665
Najiuliza so many question why in most cases watanzania tunapenda kucheza ngoma inayopigwa na CCM hata kwenye mambo ambayo hata hayahitaji kuyatizama beyond physical reality? Taking example hii syndrome kuwa Sitta is the only person who can fit as a chairperson in the constitutional assembly..hii ipo hapa Dodoma, like kila mjumbe ameshaaminishwa kuwa Sitta is the last Don to lead our journey toward New Constitution, the syndrome is getting even worse because the guy is now in the mainstream kila kona ya nchi, media outlets nazo zimeingia mtego uleule.
What m saying is, kama watanzania zaidi ya 600 wapo bunge la katiba kila mmoja ana uwezo, yet tunaaminishwa Sitta is the only person who is capable of leading CA nadhani itafika sehemu tunaowaona wamezaliwa kuwa viongozi wakifa na taifa litakwama. Nielezeni tatizo la Pandu Kificho so far? This guy deserve that chair to the end.
Why we should not trust Samweli Sitta is as other human being, his mind is growing,goals change, is pron to change as anybody else, hakuna binadamu mwenye mawazo na misimamo ambayo ni permanent.. when people get facts to change their behaviour and attitude, they alwys change (its psychological).
The other time Samweli Sitta akiwa spika alikuwa anayafanya anayoonekana aliyaweza coz alikuwa na motive behind. Sasa hivi ccm wameenda, wamempa facts and reasons why he should stand as constitutional assembly chairperson na hawajataka kumpa mpizani. Ccm wangeweza kumpa sitta mpinzani hata wa kutokea mlango wa nyuma (nje ya ccm) but uwenyekiti wa sitta pale bungeni ni muhimu kwa CCM kuliko wale wajumbe 201 alioteua President.
Nia yangu ni kutaka sisi great thinkers ku avoid kuwa washed away with kila kinachosemwa na crowd, sababu ccm wanaelewa weakness ya watu ipo wapi na hapo ndipo wanapotupa grenade or dynamite. Ikiwa Sitta atakuwa mwenyekiti, jiandaen kisaikolojia kupokea msiyoyategemea.
Sixgates
Dsm
What m saying is, kama watanzania zaidi ya 600 wapo bunge la katiba kila mmoja ana uwezo, yet tunaaminishwa Sitta is the only person who is capable of leading CA nadhani itafika sehemu tunaowaona wamezaliwa kuwa viongozi wakifa na taifa litakwama. Nielezeni tatizo la Pandu Kificho so far? This guy deserve that chair to the end.
Why we should not trust Samweli Sitta is as other human being, his mind is growing,goals change, is pron to change as anybody else, hakuna binadamu mwenye mawazo na misimamo ambayo ni permanent.. when people get facts to change their behaviour and attitude, they alwys change (its psychological).
The other time Samweli Sitta akiwa spika alikuwa anayafanya anayoonekana aliyaweza coz alikuwa na motive behind. Sasa hivi ccm wameenda, wamempa facts and reasons why he should stand as constitutional assembly chairperson na hawajataka kumpa mpizani. Ccm wangeweza kumpa sitta mpinzani hata wa kutokea mlango wa nyuma (nje ya ccm) but uwenyekiti wa sitta pale bungeni ni muhimu kwa CCM kuliko wale wajumbe 201 alioteua President.
Nia yangu ni kutaka sisi great thinkers ku avoid kuwa washed away with kila kinachosemwa na crowd, sababu ccm wanaelewa weakness ya watu ipo wapi na hapo ndipo wanapotupa grenade or dynamite. Ikiwa Sitta atakuwa mwenyekiti, jiandaen kisaikolojia kupokea msiyoyategemea.
Sixgates
Dsm