Just Imagine

Just Imagine

Kuntakinte

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2007
Posts
701
Reaction score
34
Just imagine upo mitaa ya Kariakoo, halafu anatoke mtu mwenye matatizo ya ngozi (Zeruzeru) anakupora simu yako mpya uliyoitafutia hela kama miezi 3 hivi unahangaika ili uinunue halafu wewe unaaanza kumkimbiza? Je unadhani wananchi watakuchukiliaje?
 
Unamkimbiza huku unampigia yowee la ,mwizziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!! ukimkimbiza kimya kimya itakuwa msala kwako
 
Back
Top Bottom