Just In: Wachezaji mahiri Watatu wa USM Alger FC jana hawakucheza Dar es Salaam kwa Mkapa

Just In: Wachezaji mahiri Watatu wa USM Alger FC jana hawakucheza Dar es Salaam kwa Mkapa

1685361088195.png
 

Attachments

  • 1685361054233.png
    1685361054233.png
    54.6 KB · Views: 1
Mmoja ni Mshambuliaji, Mmoja ni Kiungo na mwingine ni Winga wa Kushoto.

Baada ya GENTAMYCINE kuipata hii Taarifa naanza kuona Timu Moja ikifungwa hata Goli 7

Ni Mwendo wa Kuwakera tu JF.
Utakimbia humu yanga wakibeba ubingwa.
Acha kumaliza maneno
Mpira ni kitu cha ajabu wewe bwege
 
Utakimbia humu yanga wakibeba ubingwa.
Acha kumaliza maneno
Mpira ni kitu cha ajabu wewe bwege
Mbona na nyie mlimaliza maneno mkihisi jana mtashinda bao tatu??? Acha kutisha watu na kutukana watu bwana...
 
Mmoja ni Mshambuliaji, Mmoja ni Kiungo na mwingine ni Winga wa Kushoto.

Baada ya GENTAMYCINE kuipata hii Taarifa naanza kuona Timu Moja ikifungwa hata Goli 7

Ni Mwendo wa Kuwakera tu JF.
Wataje hao wachezaji na takwimu zao tuone huo u hatari
 
Back
Top Bottom