GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Pepe pepe pepe pepe-------fyuuuuuuu by Manara
Utakimbia humu yanga wakibeba ubingwa.Mmoja ni Mshambuliaji, Mmoja ni Kiungo na mwingine ni Winga wa Kushoto.
Baada ya GENTAMYCINE kuipata hii Taarifa naanza kuona Timu Moja ikifungwa hata Goli 7
Ni Mwendo wa Kuwakera tu JF.
Vyura mwisho wao ulikuwa jana na mwakani hawatafika popote. Tutegemee wale magoli si chini ya 5 huko Algiers.Mmoja ni Mshambuliaji, Mmoja ni Kiungo na mwingine ni Winga wa Kushoto.
Baada ya GENTAMYCINE kuipata hii Taarifa naanza kuona Timu Moja ikifungwa hata Goli 7
Ni Mwendo wa Kuwakera tu JF.
Mbona na nyie mlimaliza maneno mkihisi jana mtashinda bao tatu??? Acha kutisha watu na kutukana watu bwana...Utakimbia humu yanga wakibeba ubingwa.
Acha kumaliza maneno
Mpira ni kitu cha ajabu wewe bwege
Raha husahaulisha matatizo. Hii ndio raha ya wanasimba lazima wasahau yoteMda wa kusahau matatizo yenu ndio huu, utumieni vizuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pepe pepe pepe pepe-------fyuuuuuuu by Manara
Utakimbia humu yanga wakibeba ubingwa.
Acha kumaliza maneno
Mpira ni kitu cha ajabu wewe bwege
😃😃Mambo yamekuwa kinyume chake.Pepe pepe pepe pepe-------fyuuuuuuu by Manara
Mtakachoweza kubeba kule algeria ni mimba tu, sio ubingwa.Utakimbia humu yanga wakibeba ubingwa.
Acha kumaliza maneno
Mpira ni kitu cha ajabu wewe bwege
Wataje hao wachezaji na takwimu zao tuone huo u hatariMmoja ni Mshambuliaji, Mmoja ni Kiungo na mwingine ni Winga wa Kushoto.
Baada ya GENTAMYCINE kuipata hii Taarifa naanza kuona Timu Moja ikifungwa hata Goli 7
Ni Mwendo wa Kuwakera tu JF.