mijitu mingine bana sijui huwa tunatoa maoni kwa kujifanya sisi ni wasafi sana? yaani pesa nitafute mimi matumizi mnipangie nyie?? hii imekaaje?? na zikiisha mtanisaidia tena kuzitafuta? ebu mmpeni break mtoto wa watu atumie anavyotaka zikiisha atatia akili za wapi kuzipata na kuliko kubwabwaja hapa, tunatofautiana hapa duniani, justin anavyotoa hiyo misaada ya watoto yatima huwa habari hizo huwa hamzifuatilii kabisa. kipindi kako 16 tu kalitoa pesa nyingi sana kwenye matatizo ya haiti na hadi akaenda kule leo mnamuona eti ni mtoto hajui kutumia pesa, zenu mmezifanyia nini pamoja na hicho kiduchu mlichonacho??? fanyeni kazi
Asante, watu umbea umewajaa tu.