Justi bieber ni noma, hivi ndo alivyoamua kulifanya gari lake. Cheki hapa


Asante, watu umbea umewajaa tu.
 
Mkuu ray05 wewe unazungumza maneno ya kipumbavu kwani mimi ni kiongozi wa Serikali yenu ya Tanzania? mimi na Siasa zenu za kipuuzi wapi na wapi mkuu? Umekwenda shule mpaka darasa la ngapi wewe?
 
Siyo kazi yake kusaidia wala siyo wito wake. Acha aishi atakavyo
 
Hahaaaaaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…