pinno
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 1,213
- 1,229
Huyu dogo amekwenda,
Ni kweli historia yake ya matukio huko nyuma, mfano tukio la wizi, lililoandikwa hapo nyuma, na visa kadhaa kama hizo watu wanasema za skendo za kusepa na wake za watu, zinamfanya aonekane kama ni halali kwa yaliyomkuta.
Ila kila binadamu ana haki ya kuishi, na kama ni kuhukumiwa ahukumiwe kwa misingi ya sheria za jamhuri, na Mwenyezi Mungu mwenyewe,
So naona msiba wa dogo unataka kupita kimnya kimnya, had sasa police wapo kimnya na hakuna update zozote za uchunguzi unaoendelea, Tumeona video na mahojioano ya key people kwenye hii ishu, maelezo mengi yanajikangaja na kuacha maswali mengi.
Tuseme labda jeshi la police lilikuwa busy na ishu ya SADC, sasa imeisha, tunaomba tafadhali, uchunguzi wa kifo cha kijana huyu uanze mapema, na wahusika wote wapelekwe mbele ya haki.
Ni kweli historia yake ya matukio huko nyuma, mfano tukio la wizi, lililoandikwa hapo nyuma, na visa kadhaa kama hizo watu wanasema za skendo za kusepa na wake za watu, zinamfanya aonekane kama ni halali kwa yaliyomkuta.
Ila kila binadamu ana haki ya kuishi, na kama ni kuhukumiwa ahukumiwe kwa misingi ya sheria za jamhuri, na Mwenyezi Mungu mwenyewe,
So naona msiba wa dogo unataka kupita kimnya kimnya, had sasa police wapo kimnya na hakuna update zozote za uchunguzi unaoendelea, Tumeona video na mahojioano ya key people kwenye hii ishu, maelezo mengi yanajikangaja na kuacha maswali mengi.
Tuseme labda jeshi la police lilikuwa busy na ishu ya SADC, sasa imeisha, tunaomba tafadhali, uchunguzi wa kifo cha kijana huyu uanze mapema, na wahusika wote wapelekwe mbele ya haki.