Juu ya ajali mbaya ya maskini_jeuri

Juu ya ajali mbaya ya maskini_jeuri

Doh, Pole sana kwa wafiwa na pole sana MJ kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu ataweka mkono wake juu yako ili suala hili liweze kuisha, tupo pamoja katika kipindi hiki kigumu kwako na kwa familia yako once again pole sana na pole kwa familia ya wafiwa
 
Pole sana MJ. Please stay calm and with our prayers God will make a way.
 
Wapendwa sana!

Ndio nimeingia Dodoma; kuiweka sawa familia ambapo muda wote tangu juzi nimekuwa nkiwasiliana nao kwa simu! kweli tumesawijika lakin pia kwa niaba ya familia nawashukuru wote kwa faraja zenu! kwa kweli kwa sasa ni kitu tunachokihitaji sana!

Kijana aliyefariki ndio alikuwa sababu kuu ya mimi kuwapa lifti wapiganaji wale yaani yeye pamoja na wenziwe kwa kuwa alikuwa na undugu na mtu ambaye aliwahi kunifundisha kazi huko miaka ya nyuma! kwa kweli huwa sitoi lifti na asilani kwa watu nisiowafahamu kabisa!

Lakini ndo hivyo yametokea;

Nawasiliana na wadau wangu wa kazi hapa Dodoma na pia familia kwa chochote kinachoweza kutokea! Woga upo siwezi kukataa.......ni kwa mara ya kwanza najikuta katika situation hii.........sina xperience ya chochote hivyo mawazo mliyotoa na mtayoendelea kutoa hapa nitayafanyaia kazi.

Labda nisahihishe kidogo kuwa kesi itaendeshwa katika mahakama ya wilaya ya Kilosa; hivyo nitasafiri kuelekea Mkikumi na hatimaye Kilosa katika tarehe zilizotajwa.

Asanateni sana
 
pole sana , MUNGU yu pamoja nawe
WAPENDWA SANA,
taarifa mbaya kabisa ni kwamba yule mmoja wa wahanga wa ajali aliyekuwa hoi sana AMEFARIKI DUNIA.

sasa kwakuwa maskini_jeuri ndiye alikuwa dereva wa ile gari,ana ya kuendesha gari kwa vyovyote jamhuri itakavyoita(uzembe au vinginevyo) na kusababisha KIFO......!hivyo basi hapa ninavyowahabarisheni ni kwamba maskini_jeuri anaelekea Dodoma nyumbani kwake kwa ajili ya maandalizi na kujipanga kidogo,again jumanne ya tar 2/11/2010 ataripot kituo cha polisi morogoro na jumatano ni siku ya KESI mahakamani!

WITO WANGU:
TUmuombee Maskini_Jeuri mambo yake yaende vizuri lisije kutokea la kutokea!imani yetu tulio wengi ni kwamba ile ilikuwa ajali tu.

Tumuombee Maskini_Jeuri akipite kipindi hichi kigumu kwake na familia yake.I can imagine ''the hell of life'' he is going through kwa sasa.

Wenye GUTS zenu tunaomba msaada kama mnaweza kuweka ''mikono'' yenu kwenye hii issue maanake ''the way i look things'' ni kama jamaa yupo kwenye wakati mgumu kidogo.

Wasalaam,
Baba Gift
 
Wapendwa sana!

Ndio nimeingia Dodoma; kuiweka sawa familia ambapo muda wote tangu juzi nimekuwa nkiwasiliana nao kwa simu! kweli tumesawijika lakin pia kwa niaba ya familia nawashukuru wote kwa faraja zenu! kwa kweli kwa sasa ni kitu tunachokihitaji sana!

Kijana aliyefariki ndio alikuwa sababu kuu ya mimi kuwapa lifti wapiganaji wale yaani yeye pamoja na wenziwe kwa kuwa alikuwa na undugu na mtu ambaye aliwahi kunifundisha kazi huko miaka ya nyuma! kwa kweli huwa sitoi lifti na asilani kwa watu nisiowafahamu kabisa!

Lakini ndo hivyo yametokea;

Nawasiliana na wadau wangu wa kazi hapa Dodoma na pia familia kwa chochote kinachoweza kutokea! Woga upo siwezi kukataa.......ni kwa mara ya kwanza najikuta katika situation hii.........sina xperience ya chochote hivyo mawazo mliyotoa na mtayoendelea kutoa hapa nitayafanyaia kazi.

Labda nisahihishe kidogo kuwa kesi itaendeshwa katika mahakama ya wilaya ya Kilosa; hivyo nitasafiri kuelekea Mkikumi na hatimaye Kilosa katika tarehe zilizotajwa.

Asanateni sana

pole sana kaka,
tunakuombea, ni maambo yanayotokea, hayana uzoefu, ni kweli kabisa. ni changamoto kwako na kwetu pia. ila ninadhani ile accident report, ndiyo muhimu kwani itatoa chanzo cha ajali.so ninatarajia hata ule upande mwingine( gari kubwa ) nao unatakiwa kuwa sehemu ya ajali na hata mahakamani unahitajika. cjui kama kulikuwa na documentation nzuri kwa polisi baada ya ajali kutokea. all in all, tunakuombea ktk kipindi hiki kigumu
 
RIP ndugu yetu. Poleni wafiwa na familia ya MJ kwa yote yanayokusibu kwa kipindi hiki. Kumbuka 'Mwite bwana naye ataitika atakuonyesha mambo ya ajabu' Mungu akutungalie kwa kila jambo. Tupo nawe katika maombi.
 
Wapendwa sana!

Ndio nimeingia Dodoma; kuiweka sawa familia ambapo muda wote tangu juzi nimekuwa nkiwasiliana nao kwa simu! kweli tumesawijika lakin pia kwa niaba ya familia nawashukuru wote kwa faraja zenu! kwa kweli kwa sasa ni kitu tunachokihitaji sana!

Kijana aliyefariki ndio alikuwa sababu kuu ya mimi kuwapa lifti wapiganaji wale yaani yeye pamoja na wenziwe kwa kuwa alikuwa na undugu na mtu ambaye aliwahi kunifundisha kazi huko miaka ya nyuma! kwa kweli huwa sitoi lifti na asilani kwa watu nisiowafahamu kabisa!

Lakini ndo hivyo yametokea;

Nawasiliana na wadau wangu wa kazi hapa Dodoma na pia familia kwa chochote kinachoweza kutokea! Woga upo siwezi kukataa.......ni kwa mara ya kwanza najikuta katika situation hii.........sina xperience ya chochote hivyo mawazo mliyotoa na mtayoendelea kutoa hapa nitayafanyaia kazi.

Labda nisahihishe kidogo kuwa kesi itaendeshwa katika mahakama ya wilaya ya Kilosa; hivyo nitasafiri kuelekea Mkikumi na hatimaye Kilosa katika tarehe zilizotajwa.

Asanateni sana

Pole sana, wala usijilaumu sana wakati kama huu. Ni wakati mgumu ndio, ila jipe moyo kuwa magumu yote hupita. Pole zangu kwa wafiwa
 
pole sana MJ, RiP jamaa aliyefariki.....Mungu atakupigania yote yataisha salama
 
Documentation zote nilikuwa nazo na ni sahihi; kuanzia leseni yangu mpaka kadi ya gari na mengineyo
 
Documentation zote nilikuwa nazo na ni sahihi; kuanzia leseni yangu mpaka kadi ya gari na mengineyo

Pole sana MJ tuko pamoja nawe katika kipindi hiki kigumu mola ataweka baraka zake na ni matumaini kila kitu kitaisha vizuri sala na maombi tunazielekeza kwake muumba wa mbingu na nchi.
 
Documentation zote nilikuwa nazo na ni sahihi; kuanzia leseni yangu mpaka kadi ya gari na mengineyo

Mkuu hii sio kesi kubwa....kawaida ukiweka mambo sawa, basi kesi inaisha siku ya kwanza tu....unasomewa mashtaka...unakiri...unapewa adhabu....kama ukicheza karata vizuri inakua ni faini ya tshs 20000 au 40000....pole kaka!
 
Documentation zote nilikuwa nazo na ni sahihi; kuanzia leseni yangu mpaka kadi ya gari na mengineyo
Kila jaribu lina mlango wa kutokea, so muombe Mungu akuonyeshe mlango katika hili jaribu lako MJ, pole sana.
 
Documentation zote nilikuwa nazo na ni sahihi; kuanzia leseni yangu mpaka kadi ya gari na mengineyo


Pole sana mkuu MJ tupo pamoja

Mi sijawahi kuwa kwenye hali kama hii lakini kwa uzoefu ni kjwamba ile Police traffic report lazima 'ikae vizuri' ili mahakamani wasikusumbue muda mrefu. Unaweza kuona kuwa wewe huna kosa lakini ripoti ya wajamaa inaweza kuchakachuliwa especially na mwenye gari kubwa...ndo documentation inayozungumziwa hapa, ushahidi wote uwe umekuwa documented vizuri and in ur favor of course

Zaidi ya yote ni kumwomba Mungu akupitishe salama katika hili!
 
Mkuu hii sio kesi kubwa....kawaida ukiweka mambo sawa, basi kesi inaisha siku ya kwanza tu....unasomewa mashtaka...unakiri...unapewa adhabu....kama ukicheza karata vizuri inakua ni faini ya tshs 20000 au 40000....pole kaka!
mumnsaidie basi kucheza asije akalamba karata nyekundu hapo!!
 
poleni sana na kwa marehemu rip punguza woga mungu atakusaidia japo trafic case zimebadilika sana siku izi but never giveup mkuu
 
Back
Top Bottom