NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Mungu atende miujiza kwa vizee hivi, vinawaona watanzania wote ni wajukuu zao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwache Marehemu apumzike kwa amini. Muda wake umekwishapita. Ni muda wa aliemuamini kumsaidia achapekazi.Duru za kijasusi na unabii mitandaoni zinaonyesha picha hizi na dhana HIZI zitajibiwa ndani ya Mwezi huu wa tatu!hadi tarehe 31 ya Mwezi wa tatu mengi yatajibiwa na wameshaanza kujibiwa!jana alizinduka akazunguka ukumbini Hadi watu wakakimbia kama vichaa vile!na kimbunga kikajitokeza kusafisha nyayo zake!hadi malkia presha ikapanda Sana!
Legacy HAIWEZI zibwa na uhuni!
Mungu IBARIKI TANZANIA!!
Ndo kwanza yanaanza🏃He who laughs last laughs best. Mambo bado
Aki na UkwaSamahani mkuu, hao ni akina nani...🤔😎
Ni wachumia tumbo fulani hiviSamahani mkuu, hao ni akina nani...🤔😎
Ukoo wa asaliSamahani mkuu, hao ni akina nani...🤔😎
😅🤣😂JPM kawaachia watu mazingira magumu sana ya maisha.
Arsenal hachukui EPL msimu huu
Hii ni picha ya zamani wakati Makamba alikuwa ameitwa Makao Madogo ya CCM Lumumba kuja kuhojia kwa maongezi yake ya Simu na kina Nape na Kinana au unafikiri ya lini bibi kizee!!?
Hujui kitu ndani ya CCM hivyo vitu vya kawaida kila uongozi unakuja na timu yake angalia Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli kila kiongozi aliingia na timu yake na mshikamano wa CCM uliendelea kama kawaida kupingana ni kitu cha kawaida ndani ya CCM. Jaribu kufanya hivyo kwenye Saccos ya Chadema na Mwenyekiti wa maisha kama hutauwawa au kufukuzwa saccos kabisa! CCM chama kubwa sana na inambinu nyingi sana za kuwaangamiza wapinzani wake kisiasa.Aliyekuwa anahojiwa Sasa ndio master.
JPM kawaachia watu mazingira magumu sana ya maisha.
Polepole kaenda kutupwa huko ziwa nyasa
Pole kwa msiba mkuu, maadhimisho utafanyia wapi?Hujui kitu ndani ya CCM hivyo vitu vya kawaida kila uongozi unakuja na timu yake angalia Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli kila kiongozi aliingia na timu yake na mshikamano wa CCM uliendelea kama kawaida kupingana ni kitu cha kawaida ndani ya CCM. Jaribu kufanya hivyo kwenye Saccos ya Chadema na Mwenyekiti wa maisha kama hutauwawa au kufukuzwa saccos kabisa! CCM chama kubwa sana na inambinu nyingi sana za kuwaangamiza wapinzani wake kisiasa.
Wewe wasemaHii ni picha ya zamani wakati Makamba alikuwa ameitwa Makao Madogo ya CCM Lumumba kuja kuhojia kwa maongezi yake ya Simu na kina Nape na Kinana au unafikiri ya lini bibi kizee!!?
[emoji38][emoji38][emoji38]Pole kwa msiba mkuu, maadhimisho utafanyia wapi?