Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Kiukabaji,sina mashaka naye, ni beki mzuri kwa kweli...leo kacheza vizuri maana alikuwa anamkaba nicolas pepe
Kutoka kwa nani sasa?Misumari
Inch 6
Umewahi kusikia amepewa red card?Kutoka kwa nani sasa?
Erasto Nyoni au Sergie Wawa? Sema Juuko bana aachage Rafu za hapa na pale
Rafu ziko Simbwa tu ?Kutoka kwa nani sasa?
Erasto Nyoni au Sergie Wawa? Sema Juuko bana aachage Rafu za hapa na pale
Haziwagi za Red direct, Ila yellow anazilambaga tuUmewahi kusikia amepewa red card?
Beki asicheze rafu?Kutoka kwa nani sasa?
Erasto Nyoni au Sergie Wawa? Sema Juuko bana aachage Rafu za hapa na pale
Hii inamaanisha simba ni nzuri kuliko taifa stars na uganda the cranesJuuko Murshid mmoja kati ya mabeki wapambanaji, wenye roho ya chuma katika ligi ya Bongo kando ya Kelvin Yondan.
Juuko mara kwa mara amekuwa akisugua benchi klabuni Simba, akicheza ujue kuna watu ni majeruhi.
Lakini habari ni tofauti, Timu ya Taifa ya Uganda, The Cranes ni beki tegemeo na daima akiwa mzima ni chaguo la kwanza. Ameshacheza hadi Afcon iliyopita, na sasa yupi kikosini kwa ajili ya Afcon ya 2019 inayofanyika Misri.
Je nini huwa kinasababisha Juuko asipate nafasi klabuni Simba?
Duh...Misumari
Inch 6
Na hili tatizo lipo sana TanzaniaMisumari
Inch 6