Juventus mlichokifanya leo Mungu anawaona

Juventus mlichokifanya leo Mungu anawaona

Kiumbe mtu anayestahili kuitwa "special one" ni Zidane Zizzu tu,ile nyingine ni "fake" 100%!
Sababu: 1.Kavaa medali ya CL kama mchezaji.
2. Kavaa CL medali kama kocha msaidizi.
3.Kubeba CL kama kocha mara 2 mfululizo.
4.Kavunja mwiko wa kuto kubeba ndoo CL misimu mi2 .(ilikuwa haijatokea).
5.kabeba world cup kama mchezaji.
Angekuwa " msema ovyo" wengi tusingelala,kunywa wala kula tuvipendavyo!
 
Mtatoa visingizio kibao ila mpira ni tactics na kucapitalize nafasi unazozipata....

Kumbukeni tu kwamba mpira sio algebra kwamba A akimfunga B na B akimfunga C therefore A ndio kishamfunga C.
Hii kwenye uchumi tunaiita transitivity axiom
 
aliye bet kwa Juve kumfunga madrid ni kichaa cha mwenda wazimu huyo.
Juve yenyewe imetokana na magarasa ya real madrid halafu juve yoote hakuna mchezaji anayeweza kupata namba pale madrid labda huyo cheilini pekeyake na hivyo angesugua benchi kama anavyokaa benchi yule mchezaji wao mkali wa mabao pale juve aliyenunuliwa na madrid na na jana kaingia dakika 83 -morata.
sasa unawezaje kubett kwa juve kama sio kichaaa wewe ?munich mziki anaujua wa madrid .acheni hizo eti kwa7bu juve kamtoa UEFALONA ndio angemtoa madrid thubutu yake.
 
Sina mengi hapa nipo kitandani natafuta usingizi...
Lakin kila nikikumbuka huyu nambaa saba wa madrid usingizi unapaaa....hata sijui nifanyaje.
Ila nasema juve nibora mngetuacha barcelona tupite kuliko hizi aibu mlizotuletea leo.

Huko mtaani kesho tutatembeaje sasa maan mmetuvua nguo kipindi cha pili...hiyo dyabala amecheza ujinga mtupu.

Kwakweli juve mungu anawaona.
nmesema m mkuu bora wangetuacha tu wenyew
 
Back
Top Bottom