Hahahah fainali mimi na wewe. ..........😀😀Juve anakaa Leo mamito. Fainali ni Mimi Na wewe
Hahahah fainali mimi na wewe. ..........😀😀
Juve leo anapita wangu......
Ntuzu said:
Utakuwa ni muujiza mkuu kwa Madrid kuweza kupenya leo nankuinyofoa Juve...
Kiongozi mi Niko na kibaiskeli changu nakwenda kwa Binamu yako everlenk maana nikikuta Maji njiani nakibeba juu. Naenda kutizama mpira huko. Asprin yeye mbishi ana michepuko mingi akiona mvua zimezidi harudi home. Anasingizia madaraja yamekatika.
Mkuu juve anapigwa leo. Leo hakuna muujiza ni kumpiga tu juve akajipange huko. juve2012 Na Mourinho wanalijua hili vzr. Alafu fainali ni Mimi Na Binamu yako.
Ntuzu na b5-click mnapenda sana ligi na mimi....safari hii Ntuzu nakuficha kabisa yaani omba uishie kwa Juve siyo ukutane na mimi....Hahaha mimito huyo Mourinho Na alie tu hana chake. Fainali ni Mimi Na wewe. Au hujui Ancelotti baba yangu mkubwa?
Hahaha Mkuu Leo juve ata afanyeje anapigwa. Alafu fainali ni Mimi Na huyo mrembo hapatoshi hapo. Lazima nimfunge. Yeye Na baba Yake mdogo Aleyn Na Binamu Yake Watu8 watajuta kukutana Na Madrid. Muulizeni Diego Simioni msimu uliopita Madrid walimfanyaje!
Kiongozi mi Niko na kibaiskeli changu nakwenda kwa Binamu yako everlenk maana nikikuta Maji njiani nakibeba juu. Naenda kutizama mpira huko. Asprin yeye mbishi ana michepuko mingi akiona mvua zimezidi harudi home. Anasingizia madaraja yamekatika.
Mkuu juve anapigwa leo. Leo hakuna muujiza ni kumpiga tu juve akajipange huko. juve2012 Na Mourinho wanalijua hili vzr. Alafu fainali ni Mimi Na Binamu yako.
Karibu sana Ntuzu nimeandaa kahawa ya kutosha pamoja na karanga. . ....lol .......pia Nina handkerchief za kutosha za kukufuta machozi maana utalia sana hutaamini ndo vile .......
Hahaha mi Niko kwa baba Ancelotti. Utajuta kukutana Na baba. Hao kina Messi, Neymar Na Suarez mwisho wao ni kwa Munich lkn sio kwa Ramos au Velain.
Nakuja Na Asprin
Karibuni sana ila........
Tusiandikie mate yamebaki masaa machache sana......
Cc. Mourinho, Viper juve2012, Gang Chomba, Belo, everlenk, pachanya, myao wa tunduru, EMT na wooote mje hapa jamvini kwa ajili ya kuwapa suport juventus Turin....
Juve anakalia Karoti bila Ubishi. Fainal ni LA LIGA UEFA