Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndiyo yalikuwa maombi yako
DID you say talk is cheap?????Talk is cheap, talk is very cheap indeed
asante kwa kutupa hongeraDah Juventus tumepigwa mbaya half Ya kwanza hatukucheza na Tevez hakuwa kwenye Game... Ndio Football lazima kukubali matokeo bao la 3 limekata maini mpaka Refa wa Barca kaona amalize tu sababu wapiga picha wamejazana kama wanampiga pic Celebrity wetu everlenk au Wacha1 , chama langu la Italy limeumia nimemuonea huruma sana Pirlo kumuona mtu mzima analia sio kitu kizuri Bora mtoto utasema ah kawaida ila Mwanaume mtu mtu mzima ambaye utegemei kulia utajua kuna jambo na imemuuma vibaya. Hongera kwa barcelona.
Sasa naamini pale saint peter basilica kuna maombi yanaendea pale...hakika mungu yupo na sisi.
Pazi poleni sana hata nami kwenye ile mechi kitu kilichonihuzunisha sana ni kumuona Pirlo analia dah!! Nilijiskia vibaya nikawa kama vile namuona bebito wangu Jozee Mourinho mhh yalishapita sitaki kukumbuka!!Dah Juventus tumepigwa mbaya half Ya kwanza hatukucheza na Tevez hakuwa kwenye Game... Ndio Football lazima kukubali matokeo bao la 3 limekata maini mpaka Refa wa Barca kaona amalize tu sababu wapiga picha wamejazana kama wanampiga pic Celebrity wetu everlenk au Wacha1 , chama langu la Italy limeumia nimemuonea huruma sana Pirlo kumuona mtu mzima analia sio kitu kizuri Bora mtoto utasema ah kawaida ila Mwanaume mtu mtu mzima ambaye utegemei kulia utajua kuna jambo na imemuuma vibaya. Hongera kwa barcelona.