Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

Juve hii naona kama inakosa vitu vingi, tevez, vidal na pirlo walikuwa wanatoa dimension tofauti sana. Pogba anafanya kazi kubwa sana pekee yake ila wanapata matokeo na injuries hazichezi mbali nao msimu huu

Juve inahitaji marekebisho madogo ili iweze kwenda sawa na top 4 ya sasa pale serie A. Kwa nafasi waliyopo sasa wanaweza kupigana na kutetea scudetto yao. Fiorentina, Roma, na Napoli bado hawana vikosi imara kama cha juve. Juve kuna kitu wanakikosa pale kikosini.
 
Juve inahitaji marekebisho madogo ili iweze kwenda sawa na top 4 ya sasa pale serie A. Kwa nafasi waliyopo sasa wanaweza kupigana na kutetea scudetto yao. Fiorentina, Roma, na Napoli bado hawana vikosi imara kama cha juve. Juve kuna kitu wanakikosa pale kikosini.

Ona kama msimamo unavyoonyesha hapa chini. Wanahitaji nguvu kidogo tu ili kwenda sawa. January c mbali
 

Attachments

  • 1446801724178.jpg
    1446801724178.jpg
    32.5 KB · Views: 41
My dear Mourinho anatoa like tu hataki hata kukoment, umefanya la maana sana my kaka Ziroseventytwo kuufufua Uzi huu, hivi wewe ni timu gani sikuelewi elewi...

Mimi ni manazi ile clab iliyopata kuchezewa na mchezaji bora kabisa kutokea duniani. Hapa namaanisha SS NAPOLI. Ila tunashea jukwaa moja na maburuda wenzangu. Ingawa sijapewa kibali na C.E.O wetu Viper.

Salama lakini mama!
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni manazi ile clab iliyopata kuchezewa na mchezaji bora kabisa kutokea duniani. Hapa namaanisha SS NAPOLI. Ila tunashea jukwaa moja na maburuda wenzangu. Ingawa sijapewa kibali na C.E.O wetu Viper.

Salama lakini mama!

Kumbeeee!!!! Haya nitakufatilia fatilia nijue maendeleo ya timu yako.

Mimi mzima kabisa hofu na mashaka ni kwako uliye mbali na upeo wa Macho yangu yaani hadi nikinywa maji nakuona kwenye glass...lol
 
Last edited by a moderator:
Kumbeeee!!!! Haya nitakufatilia fatilia nijue maendeleo ya timu yako.

Mimi mzima kabisa hofu na mashaka ni kwako uliye mbali na upeo wa Macho yangu yaani hadi nikinywa maji nakuona kwenye glass...lol

Naona umebadili hadi avatar yako. Napoli kwa kweli kwa sasa inapiga sana. Matokeo ya Jana C umeyaona? Kule serie A ndio hivyo hivyo tunatandika tu. Kina Mourinho wao wakitandikwa wanasusa. Wakishinda hawaonekani. Kuna wadau kibao siku hizi siwaoni kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Naona umebadili hadi avatar yako. Napoli kwa kweli kwa sasa inapiga sana. Matokeo ya Jana C umeyaona? Kule serie A ndio hivyo hivyo tunatandika tu. Kina Mourinho wao wakitandikwa wanasusa. Wakishinda hawaonekani. Kuna wadau kibao siku hizi siwaoni kabisa.

Wamekata tamaa tujitahidi kuwarudisha maburuda wetu kwenye mood zao . ...
 
Last edited by a moderator:

Attachments

  • 1447062192280.jpg
    1447062192280.jpg
    80.8 KB · Views: 58
  • 1447062210696.jpg
    1447062210696.jpg
    115.7 KB · Views: 54
  • 1447062224945.jpg
    1447062224945.jpg
    79.9 KB · Views: 58
  • 1447062247046.jpg
    1447062247046.jpg
    57.9 KB · Views: 54
  • 1447062269666.jpg
    1447062269666.jpg
    67.5 KB · Views: 57
  • 1447062283365.jpg
    1447062283365.jpg
    55.1 KB · Views: 59
  • 1447062307785.jpg
    1447062307785.jpg
    107.8 KB · Views: 55
  • 1447062336786.jpg
    1447062336786.jpg
    58.2 KB · Views: 66
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom