Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Super Saturday, Juventus vs AC Milan. Ndani ya estadio juventus arena. Ngozi inasukumwa 22:45 usiku.
Usikose
Cc: Gang Chomba
#ForzaJuve.......to my darling Mourinho
Am back Sweetheart, I miss you
Nafurahi sana kukuona tena sweet....
Likewise Mamy, nawaangalia vijana wangu hapa
Mtu wetu anaendeleaje lakini?
Kumbe leo kuna mechi ?? Hata sijui.....duh acha tu darling nimeshalicheza lisegere hapa la Muhimbili usipime,tokea siku ile tushamrudisha kama mara 3 hivi na ya mwisho last week ndo alikuwa admitted ,ila sasahivi week hii Mungu anasaidia naona mkono wake,ila tu hapa maombi yangu tusirudi tena Muhimbili.
Pole mpenzi, pole sana Mamy
Hawa wabaguzi wa Roma tushawanyamazisha hapa kibandani kwao, wanatokwa kamasi tu
Juve wameoza